Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Hakuna ajuaye yaliyoko sirini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaexactly.Huyo ni mbinguni straigh
Litume hata PM basi sijaielewaKwa kukusaidia nenda kwa wa vuta bangi ,wanajeshi,wale watu wa TANESCO wanao chomeka nguzo za umeme hapo ukitoka hujajua
Mwambie mzazi wako uone kesi itakwendaje?Kmmk sio tusi. Ataweza kushinda hii kesi siku ya kiama vizuri tu. Kmmk ni sawa na kusema m*t*k* yake au kichwa chake
SawaLitume hata PM basi sijaielewa
Yawezekana?🤔Hakuna kiama
Hakuna mbinguni
Hakuna jehanam
They are all myth..
Ungeweka na kifungu cha biblia sasaAtakuwa upande wa watukanaji.
Maana Biblia imesema " watukanaji, wazinzi, walawiti, wafilaji, waongo, wabudu sanamu zehemu yao Jehanamu ya moto.
Hiv ni vitu halisiEndelea kuhangaika na vitu vya kusadikika.
Huyo dereva bila shaka wana umri sawa hivo sio tusiMwambie mzazi wako uone kesi itakwendaje?
Mambo ya kiroho kwa jf ya sasa huwezi kupata majibu ya swali lakoMwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.
Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori
Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.
Mimi sikuwepo nilihadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.
Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?
Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?
Yaani huku utaambulia kuambiwa Mungu hayupo🤣🤣na dini ni utapeli🤣Mambo ya kiroho kwa jf ya sasa huwezi kupata majibu ya swali lako
Nini sababu ya kuongezeka kwa kundi hili atheist?
Miaka ya hivi karibuni kuanzia 2018 hapa jukwaani Kumekuwa na ongezeko kubwa la watu ambao hawaamini uwepo wa Mungu (atheist) hii inaashiria Nini ? Hii hali nimeona ni tofauti na jamiiforum Ile ya 2016 kurudi nyuma Napenda kujua elimu zao au hali zao za uchumi hawa atheistwww.jamiiforums.com
Kwahyo kutukana ndo kumpeleka mtu motoni?Big NoMwaka jana rafiki yangu akiwa amepakiza familia yake kwenye gari binafsi alipata ajali ba kufariki hapohapo.
Kwa ufupi ni kwamba kuna lori lilifeli break likawa linakuja kasi upande wake yeye akidhani ni mbwembwe za dereva wa lori
Lori lilipomkaribia akatoa tusi ile anamalizia herufi o tu, lori likamgonga upande wake na kufariki hapohapo.
Mimi sikuwepo nilihadithiwa na waliokuwemo kwenye gari.
Sasa wale wafia dini huyu mtu siku ya kiana atakuwa upande upi?
Ni amri ipi ya Mungu inasema usitukane?
mbona Kuna hukumu za kupigwa mawe na kukatwa mkono?Kwa Waislam, hukumu zetu ni Allah ajuwaye, hakuna binadam ajuwaye. Wajibu wetu ni kufanya toba.
1 korintho 6: 9-10Ungeweka na kifungu cha biblia sasa
Lakini na yesu si alikuwa anatukana kiaina?🤔1 korintho 6: 9-10
1 Wakorintho 6
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Yaorodheshe hayo matusiLakini na yesu si alikuwa anatukana kiaina?🤔
Nimekuuliza unijibu yesu hakutukana mtu ?Yaorodheshe hayo matusi
Mithali 26Nimekuuliza unijibu yesu hakutukana mtu ?