Pre GE2025 Kauli ya Nape na Mkuu wa Wilaya ya Longido kuwa serikali ya CCM inalazimisha ushindi katika uchaguzi zinahalalisha kuindoa CCM madarakani kwa nguvu

Pre GE2025 Kauli ya Nape na Mkuu wa Wilaya ya Longido kuwa serikali ya CCM inalazimisha ushindi katika uchaguzi zinahalalisha kuindoa CCM madarakani kwa nguvu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kawaida, chama cha siasa kilichopo madarakani kwa kuchaguliwa ki-demokrasia, hakipaswi kuondolewa madarakani kwa nguvu. Uhalali wa kuiondoa serikali madarakani unapaswa uwe kupitia sanduku la kura katika uchaguzi wa kidemokrasia, na kama kuna ukiukwaji wa haki za uchaguzi, mfumo wa sheria wa nchi unapaswa kurekebisha hilo.

Lakini pale inapothibitika kwamba chama kilicho madarakani kinatumia udanganyifu kuendelea kuwa madarakani, na haiwezekani kupata haki ya uchaguzi kupitia mfumo wa sheria au mahakama, ndipo inapokuwa halali kuiondoa serikali ya chama kilichopo madarakani kwa kutumia nguvu.

Kauli ya aliekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido, Marko Henry Ng'umbi, na ile ya Nape, na muundo wa sasa wa Katiba ya Tanzania vina athari kubwa sana juu ya jambo hili. Utaona kwamba, kama hadi sasa kumetolewa kauli ambazo zinaonyesha serikali ya CCM imekuwa ikitumia nguvu na hila kushinda uchaguzi, na uchaguzi mmojawapo ni ule wa raisi ambao hauwezi kupingwa Mahakamani, basi ni wazi kunakuwa hakuna njia nyingine ya kupata haki ya uchaguzi nchini bali kwa kutumia nguvu, ili kurudisha mazingira ya demokrasia na haki katika uchaguzi.

Na hili linatiwa nguvu na na muundo wa Katiba ya Tanzania ambayo hairuhusu matokeo ya uchaguzi wa raisi kupingwa Mahakamani. Katika mazingira hayo, swali linakuwa, kama tuna Katiba ambayo hairuhusu kwenda Mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa Raisi, na hali zimethibitishwa kwamba kunakuwa na utumiaji nguvu na hila kwa chama kilichopo madarakani wakati wa uchaguzi, hali hiyo itarekebishwa vipi? Labda wale watakaoona bado hali hii haitoi uhalali wa kutumia nguvu, watuambie suluhisho hapo linakuwa nini.

Nakumbuka maneno ya Nyerere na Mandela, ambao hata walienda mbali zaidi, kwa kusema iwapo kunakuwa na ukosefu wa uchaguzi wa kidemokrasia, na wale waliopo madarakani hawaruhusu mfumo wa kisheria uruhusu upatikanaji wa uhalali na haki katika uchaguzi, basi inafikia mahali mapambano ya silaha kudai haki yanakuwa halali. Je, Tanzania bado hatujafikia hali hizi? Au je, huko ndiko tunakoelekea?

Mambo yanayofanywa na CCM ndio mambo ambayo yalihalalisha tuwasaidie Zanzibar kwenye mapinduzi yao, Msumbiji, Zimbabwe, Uganda, nk, na hata kuwaunga mkono Biafra wa Nigeria katika mapambano yao ya silaha kutafuta uchaguzi ulio huru na halali. Na sasa tunaona kila sababu ya kufanya hilo ndani ya nchi yetu wenyewe - kuwaondoa CCM kwa nguvu kwa sababu hawana tena legitimacy ya kuondolewa kidemokrasia kwa kura, kwa sababu wamekuwa wakiihujumu hiyo demokrasia wakijua watajilinda nyuma ya Katiba yetu isiyoruhusu kupinga matokeo ya Uchaguzi wa Raisi Mahakamani, na kwamba wana uwezo wa ku-undermine judicial system ya nchi pale matokeo mengine ya uchaguzi yanapopelekwa mahakamani. Tukitaka kubadili Katiba wanazuia hili. Wanatuachia option gani?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

- Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
wale walitakiwa kufutwa uanachama .kuwatumbua tu haitoshi.unaposema sisiem inaiba kuara unataka kusema hata bosi wako aliyeko madarakani yuko kimchongo.unataka ajiuzulu.
 
wale walitakiwa kufutwa uanachama .kuwatumbua tu haitoshi.unaposema sisiem inaiba kuara unataka kusema hata bosi wako aliyeko madarakani yuko kimchongo.unataka ajiuzulu.
Mkuu, sio walitaka kusema, walisema! Sasa ninaamini kwamba ni kweli Lowasa alishinda. Yale mafuriko ya watu kwa Lowasa hayakuwa ya kawaida! Alichosema Tibaijuka ni kweli kabisa, kwamba "nilimwambia Lowasa, unaenda Chadema, je, unajua kuwa hata kama ukishinda uchaguzi hautatangazwa kuwa umeshinda?" Tibaijuka anasema Lowasa alimjibu kuwa ndio najua!
 
Mkuu, sio walitaka kusema, walisema! Sasa ninaamini kwamba ni kweli Lowasa alishinda. Yale mafuriko ya watu kwa Lowasa hayakuwa ya kawaida! Alichosema Tibaijuka ni kweli kabisa, kwamba "nilimwambia Lowasa, unaenda Chadema, je, unajua kuwa hata kama ukishinda uchaguzi hautatangazwa kuwa umeshinda?" Tibaijuka anasema Lowasa alimjibu kuwa ndio najua!
Ni kweli kabisa uchaguzi wa 2015, Lowasa alishinda kwenye nafasi ya Urais wa JMT, na maalim Seif alishinda kwenye nafasi ya Urais wa Zanzibar. CCM ilipoteza kote, kwenye Urais wa JMT na kwenye Urais wa Zanzibar.

Mashetani ya CCM, chini ya uongozi wa Jakaya Kikwete, yalipora maamuzi ya wananchi. Ndiyo maana ni sahihi kusema kuwa CCM kumejaa mashetani watupu! Ukimwona Kikwete anaongea unaweza kudanganyika kuwa ni mwanademokrasia, lakini ukweli ni kuwa naye ni shetani kama mashetani wengine ya CCM, ambayo kwao haki ni adui wao wa kudumu.

Siku ambapo Watanzanua wataamua kuipambania haki yao, shetani CCM atapotea moja kwa moja, kwa sababu CCM haiwezi kuishi mahali ambapo kuna mifumo ya haki.
 
Nimeongeza video hii ambayo inazidi kuthibitisha kwamba CCM wanapaswa kuondolewa madarakani kwa nguvu. NI wajibu wa kila mtu na taaisi husika nchini kuhakikisha hili linatokea. CCM wanavunja katiba kwa makusudi wakiwa na kiburi kwamba hakuna atakaewachukulia hatua


 
1725715593502.png


Picha kama hizi ni ushuhuda mwingine wa wazi kwamba CCM wameamua kwa makusudi na kiburi kuvunja katiba ya Tanzania, hasa pale ambapo hatuoni Raisi akikemea na kukataza matendo kama haya
 
View attachment 3089530


Kawaida, chama cha siasa kilichopo madarakani kwa kuchaguliwa ki-demokrasia, hakipaswi kuondolewa madarakani kwa nguvu. Uhalali wa kuiondoa serikali madarakani unapaswa uwe kupitia sanduku la kura katika uchaguzi wa kidemokrasia, na kama kuna ukiukwaji wa haki za uchaguzi, mfumo wa sheria wa nchi unapaswa kurekebisha hilo.

Lakini pale inapothibitika kwamba chama kilicho madarakani kinatumia udanganyifu kuendelea kuwa madarakani, na haiwezekani kupata haki ya uchaguzi kupitia mfumo wa sheria au mahakama, ndipo inapokuwa halali kuiondoa serikali ya chama kilichopo madarakani kwa kutumia nguvu.

Kauli ya aliekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido, Marko Henry Ng'umbi, na ile ya Nape, na muundo wa sasa wa Katiba ya Tanzania vina athari kubwa sana juu ya jambo hili. Utaona kwamba, kama hadi sasa kumetolewa kauli ambazo zinaonyesha serikali ya CCM imekuwa ikitumia nguvu na hila kushinda uchaguzi, na uchaguzi mmojawapo ni ule wa raisi ambao hauwezi kupingwa Mahakamani, basi ni wazi kunakuwa hakuna njia nyingine ya kupata haki ya uchaguzi nchini bali kwa kutumia nguvu, ili kurudisha mazingira ya demokrasia na haki katika uchaguzi.

Na hili linatiwa nguvu na na muundo wa Katiba ya Tanzania ambayo hairuhusu matokeo ya uchaguzi wa raisi kupingwa Mahakamani. Katika mazingira hayo, swali linakuwa, kama tuna Katiba ambayo hairuhusu kwenda Mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa Raisi, na hali zimethibitishwa kwamba kunakuwa na utumiaji nguvu na hila kwa chama kilichopo madarakani wakati wa uchaguzi, hali hiyo itarekebishwa vipi? Labda wale watakaoona bado hali hii haitoi uhalali wa kutumia nguvu, watuambie suluhisho hapo linakuwa nini.

Nakumbuka maneno ya Nyerere na Mandela, ambao hata walienda mbali zaidi, kwa kusema iwapo kunakuwa na ukosefu wa uchaguzi wa kidemokrasia, na wale waliopo madarakani hawaruhusu mfumo wa kisheria uruhusu upatikanaji wa uhalali na haki katika uchaguzi, basi inafikia mahali mapambano ya silaha kudai haki yanakuwa halali. Je, Tanzania bado hatujafikia hali hizi? Au je, huko ndiko tunakoelekea?

Mambo yanayofanywa na CCM ndio mambo ambayo yalihalalisha tuwasaidie Zanzibar kwenye mapinduzi yao, Msumbiji, Zimbabwe, Uganda, nk, na hata kuwaunga mkono Biafra wa Nigeria katika mapambano yao ya silaha kutafuta uchaguzi ulio huru na halali. Na sasa tunaona kila sababu ya kufanya hilo ndani ya nchi yetu wenyewe - kuwaondoa CCM kwa nguvu kwa sababu hawana tena legitimacy ya kuondolewa kidemokrasia kwa kura, kwa sababu wamekuwa wakiihujumu hiyo demokrasia wakijua watajilinda nyuma ya Katiba yetu isiyoruhusu kupinga matokeo ya Uchaguzi wa Raisi Mahakamani, na kwamba wana uwezo wa ku-undermine judicial system ya nchi pale matokeo mengine ya uchaguzi yanapopelekwa mahakamani. Tukitaka kubadili Katiba wanazuia hili. Wanatuachia option gani?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

- Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Hv katiba ya sasa ni nan alikuwa Rais vle????
 
Katiba ya sasa ilitengenezwa Nyerere akiwa Raisi. Kwa nini unauliza?
 
View attachment 3089530


Kawaida, chama cha siasa kilichopo madarakani kwa kuchaguliwa ki-demokrasia, hakipaswi kuondolewa madarakani kwa nguvu. Uhalali wa kuiondoa serikali madarakani unapaswa uwe kupitia sanduku la kura katika uchaguzi wa kidemokrasia, na kama kuna ukiukwaji wa haki za uchaguzi, mfumo wa sheria wa nchi unapaswa kurekebisha hilo.

Lakini pale inapothibitika kwamba chama kilicho madarakani kinatumia udanganyifu kuendelea kuwa madarakani, na haiwezekani kupata haki ya uchaguzi kupitia mfumo wa sheria au mahakama, ndipo inapokuwa halali kuiondoa serikali ya chama kilichopo madarakani kwa kutumia nguvu.

Kauli ya aliekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido, Marko Henry Ng'umbi, na ile ya Nape, na muundo wa sasa wa Katiba ya Tanzania vina athari kubwa sana juu ya jambo hili. Na si mara ya kwanza CCM wanafanya hivi, kwa kiburi, kujigamba na kujiona wako juu ya sheria, kama video kwenye hii thread inavyoonesha, kwamba wao wameshauingilia mfumo wa sheria na mahakama. Utaona kwamba, kama hadi sasa kumetolewa kauli ambazo zinaonyesha serikali ya CCM imekuwa ikitumia nguvu na hila kushinda uchaguzi, na uchaguzi mmojawapo ni ule wa raisi ambao hauwezi kupingwa Mahakamani, basi ni wazi kunakuwa hakuna njia nyingine ya kupata haki ya uchaguzi nchini bali kwa kutumia nguvu, ili kurudisha mazingira ya demokrasia na haki katika uchaguzi, pamoja na mfumo wa sheria ulio huru.

Na hili linatiwa nguvu na na muundo wa Katiba ya Tanzania ambayo hairuhusu matokeo ya uchaguzi wa raisi kupingwa Mahakamani. Katika mazingira hayo, swali linakuwa, kama tuna Katiba ambayo hairuhusu kwenda Mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa Raisi, na hali zimethibitishwa kwamba kunakuwa na utumiaji nguvu na hila kwa chama kilichopo madarakani wakati wa uchaguzi, hali hiyo itarekebishwa vipi? Labda wale watakaoona bado hali hii haitoi uhalali wa kutumia nguvu, watuambie suluhisho hapo linakuwa nini.

Nakumbuka maneno ya Nyerere na Mandela, ambao hata walienda mbali zaidi, kwa kusema iwapo kunakuwa na ukosefu wa uchaguzi wa kidemokrasia, na wale waliopo madarakani hawaruhusu mfumo wa kisheria uruhusu upatikanaji wa uhalali na haki katika uchaguzi, basi inafikia mahali mapambano ya silaha kudai haki yanakuwa halali. Je, Tanzania bado hatujafikia hali hizi? Au je, huko ndiko tunakoelekea?

Mambo yanayofanywa na CCM ndio mambo ambayo yalihalalisha tuwasaidie Zanzibar kwenye mapinduzi yao, Msumbiji, Zimbabwe, Uganda, nk, na hata kuwaunga mkono Biafra wa Nigeria katika mapambano yao ya silaha kutafuta uchaguzi ulio huru na halali. Na sasa tunaona kila sababu ya kufanya hilo ndani ya nchi yetu wenyewe - kuwaondoa CCM kwa nguvu kwa sababu hawana tena legitimacy ya kuondolewa kidemokrasia kwa kura, kwa sababu wamekuwa wakiihujumu hiyo demokrasia wakijua watajilinda nyuma ya Katiba yetu isiyoruhusu kupinga matokeo ya Uchaguzi wa Raisi Mahakamani, na kwamba wana uwezo wa ku-undermine judicial system ya nchi pale matokeo mengine ya uchaguzi yanapopelekwa mahakamani. Tukitaka kubadili Katiba wanazuia hili. Wanatuachia option gani?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

- Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Kila siku nasema hapa, machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya box la kura. Kuendelea kushiriki hizi chaguzi za kishenzi ni matumizi mabaya ya raslimali muda.
 
Umenena vema sana Mkuu! Hili liko wazi sana, na bila nguvu halitabadilishwa. Watanzania wana option ya kubadlisha uongozi kidemokrasia - lakini CCM wanahujumu chaguzi. Tukisema uchaguzi wa Raisi ulichakachuliwa - CCM wanajitangaza washindi na Kusema matokeo ya uchaguzi wa Raisi hayapelekwi Mahakamani. Watu wakienda Mahakamani kulalamikia matokeo ya uchaguzi wa wabunge na serikali za mitaa - CCM wanaingilia hukumu za mahakama. Tukitaka kurekebisha Katiba kuzuia haya - CCM wanazuia mchakato wa kubadili Katiba. Sasa ni nini kilichobaki kufanywa?
Msimamo wangu umeendelea kuwa bayana, Magufuli ndio aliyekuja kuweka ukomo wa kuendelea kushiriki hizi chaguzi za kihuni. Haiwezekani zaidi ya miaka 30 tunadai chaguzi za haki huku makada wa ccm wakitudhihaki, na sisi tuendelee kushiriki kwa kutegemea matokeo tofauti.

Machafuko pekee ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta mabadiliko, iwapo yatakuwa ni mabadiliko sahihi ama la, hilo ni jambo jingine.
 
Kila siku nasema hapa, machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya box la kura. Kuendelea kushiriki hizi chaguzi za kishenzi ni matumizi mabaya ya raslimali muda.
Inafikia mahali, japo mapinduzi ya kijeshi si jambo la kushabikia, yanakuwa ni muhimu na ya lazima kutokana na mazingira yaliyopo. Tukumbuke kwamba kule Zanzibar kilichofanyika na hadi leo tunakisherehekea yalikuwa ni mapinduzi ya kijeshi. Uganda tuliwasaidia kufanya mapinduzi ya kijeshi. Kabila wa DRC tulimuunga mkono kufanya mapinduzi ya kijeshi. Hivyo Tanzania tuna historia ya kutambua umuhimu na wakati muafaka wa mapinduzi ya kijeshi kuwa halali na lazima.
 
Namna ya kuiondoa hiyo ccm ndiyo changamoto.

Kilicho rahisi na kitakachowezekana 2025 ni kumuondoa Samia
 
Namna ya kuiondoa hiyo ccm ndiyo changamoto.

Kilicho rahisi na kitakachowezekana 2025 ni kumuondoa Samia
Kuna taasisi nchini zikiamua tu watu wanaingia mitaani kusherehekea! Sababu za kufanya hivyo zipo.
 
Ni kweli, lakini kwa njia ya kura ni kujidanganya.
Kura,ambayo ndio halali, wanauhujumu mfumo wake. Ukienda mahakamani kulalamika umehujumiwa wanaingilia maamuzi ya mahakama. Ukisema hadharani wanakuteka na kukupotezea. Sasa tufanyeje?
 
Back
Top Bottom