Kauli ya papa na upotoshaji wa BBC makusudi

Acheni kumtetea PAPA,amekosea kweli, na mnahitaji Papa mwingine. huyu kawaharibia sana.
Mimi nimeelewa kama huyu ndugu muandishi.
Bakara au blessings ndani ya kanisa katoliki zipo kwa namna nyingi tofauti.
Anaposema wapate baraka inaweza kuwa katika sakaramenti zingine tofauti na ndoa mfano ubatizo, kipaimara, n.k.
Imeelezwa wazi kabisa msimamo wa kanisa juu ya ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke (si waume kwa waume au wakike kwa wakike).
 
RUKSA IMETOKAA TAYARI HAPOO,WE NAE VIPI??UNASHINDWA TUH KUJIONGEZA??

DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TEH
 
zanzibar kuna nuka nini aisee? kule kwa yule afande.
KANISA KATOLIKI LINANUKA MAVII,ANGALIA SANA LINDA SANA MARINDA YAKO HAYAKO SALAMA TENAA

DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TEH
 
KANISA KATOLIKI LINANUKA MAVII,ANGALIA SANA LINDA SANA MARINDA YAKO HAYAKO SALAMA TENAA

DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TEH
kwa hapo nakubaliana na wewe, Papa kawaingiza cha kike sana hawa wakatoliki.
 
Kuna wajinga hawawezi kukuelewa hata kidogo. Maana kwa upande wao wanatamani sana kuona Kanisa kubwa na lenye nguvu duniani kote kama Kanisa Takatifu Katoliki na la Mitume, linaanguka! Na hivyo kupata waumini wapya wa kuwapa sadaka za bure kwenye NGO's zao.
 
kwa hapo nakubaliana na wewe, Papa kawaingiza cha kike sana hawa wakatoliki.
Shida kanisa letu Lina endeshwa na brains kubwa Sasa wenye brain ndogo kama wewe au nyie hamtalielewa kamwe. Mtawaelewa akina mwamposa na mafuta ya kukanyaga tu. Shida ni elimu ndo shida kubwa
 
Shida kanisa letu Lina endeshwa na brains kubwa Sasa wenye brain ndogo kama wewe au nyie hamtalielewa kamwe. Mtawaelewa akina mwamposa na mafuta ya kukanyaga tu. Shida ni elimu ndo shida kubwa
kwamba kuukubali ushoga ni brain kubwa? kweli?
 
Acha bange we mtoto.
Suala la kuwaruhusu wabarikiwe mahusiano yao na kuwaombea unakosema wewe kunamahusiano gani?
Kashakosea kakosea acha kupalilia makosa huyu Mungu ikimpendeza amchukue tu
 
nina uhakika mimi nina elimu kubwa kuliko wewe. na hata ningekuwa na elimu ndogo, namshukuru Mungu sisapoti ushoga.
Kwa hiyo na we hapo unajiona una elimu. Ndo mana hamuelewi chochote. Nendeni kwa akina mwamposa wawadanganye na kujitajirikia kupitia ujinga wenu
 
Kwa hiyo na we hapo unajiona una elimu. Ndo mana hamuelewi chochote. Nendeni kwa akina mwamposa wawadanganye na kujitajirikia kupitia ujinga wenu
mwamposa ni tapeli kwangu wala usimtaje hapa.
 
,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu.
Midume miwili inayofirana na kuishi pamoja kama couple inapoenda kanisa Katoliki ndio kwanza inabarikiwa kwa usenge wao, sasa hapo kuna kuwasaidia kweli wabadilike?
 
Shida kanisa letu Lina endeshwa na brains kubwa Sasa wenye brain ndogo kama wewe au nyie hamtalielewa kamwe. Mtawaelewa akina mwamposa na mafuta ya kukanyaga tu. Shida ni elimu ndo shida kubwa

Brains kubwa ndio hao mapadiri wenye kashfa ya kuwaingilia watoto kinyume na maumbile?!
Na sasa wameamua kuhalalisha ushoga na usagaji.
 
Hapana hii sio suluhisho. Ila wakitengwa na wakikemewa ipasavyo wataacha uchafu wao. Ila kufungamana nao ni sawa na kuwapa pongezi kwa kile wanachokifanya
mkuu huwezi kuwajua na tena tunapishana nao rodi!
sasa hapo utawatengaje? Maana hawajionyeshi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…