Kauli ya vumbi la Congo kutoka kwa Mkuu wa Nchi inafikirisha sana

Kauli ya vumbi la Congo kutoka kwa Mkuu wa Nchi inafikirisha sana

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Africans tunaswagwa Tu kama ng'ombe hatujui tunaelekea wapi. Ila anatuswaga ndo anajua anakotupeleka.

Hoja ya msingi hivi ni kweli nguvu za kiume ndo tatizo kubwa kwa vijana wa kitanzania. Mkuu wa Nchi unaamka unauambia ulimwengu vijana wangu Wana upungufu wa nguvu za kiume kwamba nalo ni tatizo la kuangaliwa, Kwa hiyo ngono ndo imetawala mawazo ya waafrika

Hii kauli inatakiwa kutolewa na mtu mdogo Sana labda Naibu Waziri wa Afya au Waziri wa Michezo.

Unapoongelea Lishe mkuu wa nchi unatakiwa uangalie je vijana wako wanapata lishe ya kutosha. Ukizingatia na mfumuko huu wa bei je watoto na vijana wanapata Milo kamili.

Pengine ungeongelea hata kudhibiti mfumuko wa bei wa vyakula japo watu wapate kula na kushiba.

Tatizo la vijana siyo nguvu za kiume lakini ni stress. Kukata Tamaa, kukosa ajira, Maisha magumu, mishahara midogo mwisho wa siku wanakuwa na uraibu wa ngono. Ulevi na kubeti.

Nakwambia Kauli yako imefedhehesha sana watu wanaojielewa.
 
Africans tunaswagwa Tu kama ng'ombe hatujui tunaelekea wapi. Ila anatuswaga ndo anajua anakotupeleka.

Hoja ya msingi hivi ni kweli nguvu za kiume ndo tatizo kubwa kwa vijana wa kitanzania. Mkuu wa Nchi unaamka unauambia ulimwengu vijana wangu Wana upungufu wa nguvu za kiume kwamba nalo ni tatizo la kuangaliwa, Kwa hiyo ngono ndo imetawala mawazo ya waafrika

Hii kauli inatakiwa kutolewa na mtu mdogo Sana labda Naibu Waziri wa Afya au Waziri wa Michezo.

Unapoongelea Lishe mkuu wa nchi unatakiwa uangalie je vijana wako wanapata lishe ya kutosha. Ukizingatia na mfumuko huu wa bei je watoto na vijana wanapata Milo kamili.

Pengine ungeongelea hata kudhibiti mfumuko wa bei wa vyakula japo watu wapate kula na kushiba.

Tatizo la vijana siyo nguvu za kiume lakini ni stress. Kukata Tamaa, kukosa ajira, Maisha magumu, mishahara midogo mwisho wa siku wanakuwa na uraibu wa ngono. Ulevi na kubeti.

Nakwambia Kauli yako imefedhehesha sana watu wanaojielewa.
Kweli kabisa angenipa mlinzi wake mmoja ndipo angejua vijana tuna lishe au hatuna
 
Kwani na hilo likitizamwa Kuna ubaya?
Bavicha punguzeni ubishi.
 
Africans tunaswagwa Tu kama ng'ombe hatujui tunaelekea wapi. Ila anatuswaga ndo anajua anakotupeleka.

Hoja ya msingi hivi ni kweli nguvu za kiume ndo tatizo kubwa kwa vijana wa kitanzania. Mkuu wa Nchi unaamka unauambia ulimwengu vijana wangu Wana upungufu wa nguvu za kiume kwamba nalo ni tatizo la kuangaliwa, Kwa hiyo ngono ndo imetawala mawazo ya waafrika

Hii kauli inatakiwa kutolewa na mtu mdogo Sana labda Naibu Waziri wa Afya au Waziri wa Michezo.

Unapoongelea Lishe mkuu wa nchi unatakiwa uangalie je vijana wako wanapata lishe ya kutosha. Ukizingatia na mfumuko huu wa bei je watoto na vijana wanapata Milo kamili.

Pengine ungeongelea hata kudhibiti mfumuko wa bei wa vyakula japo watu wapate kula na kushiba.

Tatizo la vijana siyo nguvu za kiume lakini ni stress. Kukata Tamaa, kukosa ajira, Maisha magumu, mishahara midogo mwisho wa siku wanakuwa na uraibu wa ngono. Ulevi na kubeti.

Nakwambia Kauli yako imefedhehesha sana watu wanaojielewa.
Acha kupotosha.Ilikuwa inazungumzwa lishe,afya na maisha yenye muendelezo kwa siku hiyo.Ulitaka aongee kuhusu ulinzi na usalama?Acha hizo.Fikiria.
 
Itakua mwanae kapeleka mslalamiko
Amekutana na kijana yupi akathibitisha kwamba ni kweli hatuna nguvu za kiume?

mambo mengine sio ya kutamka, lazima utende kabisa uuone ukweli!
 
Africans tunaswagwa Tu kama ng'ombe hatujui tunaelekea wapi. Ila anatuswaga ndo anajua anakotupeleka.

Hoja ya msingi hivi ni kweli nguvu za kiume ndo tatizo kubwa kwa vijana wa kitanzania. Mkuu wa Nchi unaamka unauambia ulimwengu vijana wangu Wana upungufu wa nguvu za kiume kwamba nalo ni tatizo la kuangaliwa, Kwa hiyo ngono ndo imetawala mawazo ya waafrika

Hii kauli inatakiwa kutolewa na mtu mdogo Sana labda Naibu Waziri wa Afya au Waziri wa Michezo.

Unapoongelea Lishe mkuu wa nchi unatakiwa uangalie je vijana wako wanapata lishe ya kutosha. Ukizingatia na mfumuko huu wa bei je watoto na vijana wanapata Milo kamili.

Pengine ungeongelea hata kudhibiti mfumuko wa bei wa vyakula japo watu wapate kula na kushiba.

Tatizo la vijana siyo nguvu za kiume lakini ni stress. Kukata Tamaa, kukosa ajira, Maisha magumu, mishahara midogo mwisho wa siku wanakuwa na uraibu wa ngono. Ulevi na kubeti.

Nakwambia Kauli yako imefedhehesha sana watu wanaojielewa.
Hayo mabango yaliyo jaa barabarani na kwenye pages za social media yanauza nguvu za kiume wanamuuzia nani? Swala la afya ya uzazi ni dogo? mbona mmekua walalamishi sana?
 
Sasa kama vumbi la kongo linavuma kuwa ndiyo tiba ya nguvu za kiume shida iko wapi kuzungumzia hilo tatizo kwa vijana ambao ni nguvukazi ya taifa? Tatizo lipo vijana waambiwe namna ya kuepukana na tatizo hilo
 
Kama reference ni Shaka ulitegemea nini?

"Ukinikuna nitakupapasa"….. Alisikika akilalama.
 
Mama alikuwa kwenye mkutano unaohusu lishe, ukitaka aongelee barabara..mada ya kitu inatokana na muktadha muwe waelewa
 
Aliongea kimzaha kwenye swala la msingi......na ndo tatizo la watu weusi na viongozi wao, hawawezi ku-address issues critically na badala yake wanajificha kwenye mizaha na story za vijiweni za saratani kusababishwa na samaki waliohifadhiwa na maji ya kuoshea maiti. Acha tuendelee kuwa wasindikizaji wa tunaowaita mabeberu......​
 
Mama alikuwa kwenye mkutano unaohusu lishe, ukitaka aongelee barabara..mada ya kitu inatokana na muktadha muwe waelewa
Anaposema wafanye utafiti wa vumbi la Congo maana yeye hajui sababu kama mkuu wa nchi.

Mkuu wa Nchi ana mambo mengi Sana ya msingi kuongelea kuhusu lishe. Siyo vumbi la Congo. Unajua lishe duni ndo hudumaza hata ukuaji akili na wa watoto siyo kupunguza nguvu za kiume pekee.
 
Back
Top Bottom