Kauli ya vumbi la Congo kutoka kwa Mkuu wa Nchi inafikirisha sana

Kauli ya vumbi la Congo kutoka kwa Mkuu wa Nchi inafikirisha sana

Anaposema wafanye utafiti wa vumbi la Congo maana yeye hajui sababu kama mkuu wa nchi.

Mkuu wa Nchi ana mambo mengi Sana ya msingi kuongelea kuhusu lishe. Siyo vumbi la Congo. Unajua lishe duni ndo hudumaza hata ukuaji akili na wa watoto siyo kupunguza nguvu za kiume pekee.
Tulitarajia rais ku-address swala la usalama wa chakula na lishe critically with vivid data na mikakati ya serikali kukabiliana na upungufu wa chakula na lishe hasa kwa watoto na vijana wanaokua, yeye anaishia kuchomeka mizaha ya vumbi la mkongo, this is so serious!​
 
Aliongea kimzaha kwenye swala la msingi......na ndo tatizo la watu weusi na viongozi wao, hawawezi ku-address issues critically na badala yake wanajificha kwenye mizaha na story za vijiweni za saratani kusababishwa na samaki waliohifadhiwa na maji ya kuoshea maiti. Acha tuendelee kuwa wasindikizaji wa tunaowaita mabeberu......​
Ulikuwa ni mzaha kweli kweli.

Mbona hajaongelea energy drinks. Atakuwa kaogopa biashara za washirika wake zitadorora lakini vijana hawali wanashindia hizi energy drinks.

Ulikuwa ni mzaha kwenye jambo nyeti. Mkuu wa Nchi vision ni zero.
 
Africans tunaswagwa Tu kama ng'ombe hatujui tunaelekea wapi. Ila anatuswaga ndo anajua anakotupeleka.

Hoja ya msingi hivi ni kweli nguvu za kiume ndo tatizo kubwa kwa vijana wa kitanzania. Mkuu wa Nchi unaamka unauambia ulimwengu vijana wangu Wana upungufu wa nguvu za kiume kwamba nalo ni tatizo la kuangaliwa, Kwa hiyo ngono ndo imetawala mawazo ya waafrika

Hii kauli inatakiwa kutolewa na mtu mdogo Sana labda Naibu Waziri wa Afya au Waziri wa Michezo.

Unapoongelea Lishe mkuu wa nchi unatakiwa uangalie je vijana wako wanapata lishe ya kutosha. Ukizingatia na mfumuko huu wa bei je watoto na vijana wanapata Milo kamili.

Pengine ungeongelea hata kudhibiti mfumuko wa bei wa vyakula japo watu wapate kula na kushiba.

Tatizo la vijana siyo nguvu za kiume lakini ni stress. Kukata Tamaa, kukosa ajira, Maisha magumu, mishahara midogo mwisho wa siku wanakuwa na uraibu wa ngono. Ulevi na kubeti.

Nakwambia Kauli yako imefedhehesha sana watu wanaojielewa.
Kiukweli hata mimi sijapendezwa mkuu wa nchi kuongea vitu simpo hivi.Kwani waziri mwenye dhamana yupo wapi?
 
Amekutana na kijana yupi akathibitisha kwamba ni kweli hatuna nguvu za kiume?

mambo mengine sio ya kutamka, lazima utende kabisa uuone ukweli!
Rais ana vyombo vingi vya kumpa taarifa...Kama vijana nguvu za kiume hawana,mustakabali wa taifa unakuwa wapi!?...unaona no dogo watu wanaotakiwa kuzaa kushindwa kuzaa,unafikiri sawasawa!?
 
Aliongea kimzaha kwenye swala la msingi......na ndo tatizo la watu weusi na viongozi wao, hawawezi ku-address issues critically na badala yake wanajificha kwenye mizaha na story za vijiweni za saratani kusababishwa na samaki waliohifadhiwa na maji ya kuoshea maiti. Acha tuendelee kuwa wasindikizaji wa tunaowaita mabeberu......​
Ulitaka aongee kakunja sura,akifoka na kulia
 
Africans tunaswagwa Tu kama ng'ombe hatujui tunaelekea wapi. Ila anatuswaga ndo anajua anakotupeleka.

Hoja ya msingi hivi ni kweli nguvu za kiume ndo tatizo kubwa kwa vijana wa kitanzania. Mkuu wa Nchi unaamka unauambia ulimwengu vijana wangu Wana upungufu wa nguvu za kiume kwamba nalo ni tatizo la kuangaliwa, Kwa hiyo ngono ndo imetawala mawazo ya waafrika

Hii kauli inatakiwa kutolewa na mtu mdogo Sana labda Naibu Waziri wa Afya au Waziri wa Michezo.

Unapoongelea Lishe mkuu wa nchi unatakiwa uangalie je vijana wako wanapata lishe ya kutosha. Ukizingatia na mfumuko huu wa bei je watoto na vijana wanapata Milo kamili.

Pengine ungeongelea hata kudhibiti mfumuko wa bei wa vyakula japo watu wapate kula na kushiba.

Tatizo la vijana siyo nguvu za kiume lakini ni stress. Kukata Tamaa, kukosa ajira, Maisha magumu, mishahara midogo mwisho wa siku wanakuwa na uraibu wa ngono. Ulevi na kubeti.

Nakwambia Kauli yako imefedhehesha sana watu wanaojielewa.
Inafikirisha kwei;
kuwa Mkuu wa nchi anajua kila kitu kinacho endelea kwenye jamii yake, liwe jambo kubwa au dogo yuko conversant na kila kitu.
huyo ni kiongozi kweli wa jamii yake.
anayajua mambo hadi ambayo usingetarijia kuwa anayajua....huyo ndiye kiongozi.

Big up kwake.
 
Ulitaka aongee kakunja sura,akifoka na kulia
Kwa hiyo wewe na rais mmeona tatizo lililopo ni nguvu za kume na siyo lishe duni inayoathiri ukuaji wa watoto na vijana na kusababisha udumavu wa kimwili na kiakili, siyo? Unaweza kuleta takwimu hapa kuonyesha uwezo wa watu kuzaliana umepungua kutokana na kukosekana nguvu za kiume na hivyo kuathiri idadi ya watu na nguvu kazi ya taifa?​
 
Nchi inaongozwa na Mapaka👇😁😁😁
AEb8rs.jpeg
16525976734300.jpg
ummY_jc.jpg
AEb8rsjc_jc.jpeg
 
Kwa hiyo wewe na rais mmeona tatizo lililopo ni nguvu za kume na siyo lishe duni inayoathiri ukuaji wa watoto na vijana na kusababisha udumavu wa kimwili na kiakili, siyo? Unaweza kuleta takwimu hapa kuonyesha uwezo wa watu kuzaliana umepungua kutokana na kukosekana nguvu za kiume na hivyo kuathiri idadi ya watu na nguvu kazi ya taifa?​
Wewe na rais nani ana takwimu!?..mpaka kitengo Cha kushughulikia nguvu za kiume kuanzishwa muhimbili bdo unaamini hakuna tatizo!?..hao wanaomudu lishe Bora hawana tatizo la nguvu za kiume!?
 
Wewe na rais nani ana takwimu!?..mpaka kitengo Cha kushughulikia nguvu za kiume kuanzishwa muhimbili bdo unaamini hakuna tatizo!?..hao wanaomudu lishe Bora hawana tatizo la nguvu za kiume!?
Kwa hiyo tatizo la msingi udumavu unaosababishwa na lishe duni, au ni nguvu za kiume?
 
Kulikuwa na mambo ya msingi sana ya kuzungumza kuhusu lishe na afya zetu na sio hilo la kuridhisha tu kingono sidhani kama alipaswa kuliongea, kaongea hadi mambo ya kujaza vifua yani kaacha kuongeza ukubwa wa uume tu.
 
Ni hivi, wanawake ambao umuri umetaradadi mara nyingi hawapendi vikongwe wenzao, hupenda V mikumi kama sio v serengeti (damu changa).
Hapa ndipo tatizo huibuka, sex ni hisia, hawa misingi viuno town silaha yao kubwa ni vumbi la zaire, kwakuwa hawaccmshwi na viajuza vyenye mkunja ni lazima mkaratusi (vumbi) litumike ili last longer iwepo.
Hapo ndipo kauli vijana hawana nguvu za wanaume huzaliwa.
 
Hoja ya msingi hivi ni kweli nguvu za kiume ndo tatizo kubwa kwa vijana wa kitanzania. Mkuu wa Nchi unaamka unauambia ulimwengu vijana wangu Wana upungufu wa nguvu za kiume kwamba nalo ni tatizo la kuangaliwa, Kwa hiyo ngono ndo imetawala mawazo ya waafrika

Hii kauli inatakiwa kutolewa na mtu mdogo Sana labda Naibu Waziri wa Afya au Waziri wa Michezo.
 
Tatizo la vijana siyo nguvu za kiume lakini ni stress. Kukata Tamaa, kukosa ajira, Maisha magumu, mishahara midogo mwisho wa siku wanakuwa na uraibu wa ngono. Ulevi na kubeti
 
Africans tunaswagwa Tu kama ng'ombe hatujui tunaelekea wapi. Ila anatuswaga ndo anajua anakotupeleka.

Hoja ya msingi hivi ni kweli nguvu za kiume ndo tatizo kubwa kwa vijana wa kitanzania. Mkuu wa Nchi unaamka unauambia ulimwengu vijana wangu Wana upungufu wa nguvu za kiume kwamba nalo ni tatizo la kuangaliwa, Kwa hiyo ngono ndo imetawala mawazo ya waafrika

Hii kauli inatakiwa kutolewa na mtu mdogo Sana labda Naibu Waziri wa Afya au Waziri wa Michezo.

Unapoongelea Lishe mkuu wa nchi unatakiwa uangalie je vijana wako wanapata lishe ya kutosha. Ukizingatia na mfumuko huu wa bei je watoto na vijana wanapata Milo kamili.

Pengine ungeongelea hata kudhibiti mfumuko wa bei wa vyakula japo watu wapate kula na kushiba.

Tatizo la vijana siyo nguvu za kiume lakini ni stress. Kukata Tamaa, kukosa ajira, Maisha magumu, mishahara midogo mwisho wa siku wanakuwa na uraibu wa ngono. Ulevi na kubeti.

Nakwambia Kauli yako imefedhehesha sana watu wanaojielewa.
Kwaiyo unataka serikali imsaidie mtu asikate tamaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom