Anaposema wafanye utafiti wa vumbi la Congo maana yeye hajui sababu kama mkuu wa nchi.
Mkuu wa Nchi ana mambo mengi Sana ya msingi kuongelea kuhusu lishe. Siyo vumbi la Congo. Unajua lishe duni ndo hudumaza hata ukuaji akili na wa watoto siyo kupunguza nguvu za kiume pekee.
Ulikuwa ni mzaha kweli kweli.Aliongea kimzaha kwenye swala la msingi......na ndo tatizo la watu weusi na viongozi wao, hawawezi ku-address issues critically na badala yake wanajificha kwenye mizaha na story za vijiweni za saratani kusababishwa na samaki waliohifadhiwa na maji ya kuoshea maiti. Acha tuendelee kuwa wasindikizaji wa tunaowaita mabeberu......
Kiukweli hata mimi sijapendezwa mkuu wa nchi kuongea vitu simpo hivi.Kwani waziri mwenye dhamana yupo wapi?Africans tunaswagwa Tu kama ng'ombe hatujui tunaelekea wapi. Ila anatuswaga ndo anajua anakotupeleka.
Hoja ya msingi hivi ni kweli nguvu za kiume ndo tatizo kubwa kwa vijana wa kitanzania. Mkuu wa Nchi unaamka unauambia ulimwengu vijana wangu Wana upungufu wa nguvu za kiume kwamba nalo ni tatizo la kuangaliwa, Kwa hiyo ngono ndo imetawala mawazo ya waafrika
Hii kauli inatakiwa kutolewa na mtu mdogo Sana labda Naibu Waziri wa Afya au Waziri wa Michezo.
Unapoongelea Lishe mkuu wa nchi unatakiwa uangalie je vijana wako wanapata lishe ya kutosha. Ukizingatia na mfumuko huu wa bei je watoto na vijana wanapata Milo kamili.
Pengine ungeongelea hata kudhibiti mfumuko wa bei wa vyakula japo watu wapate kula na kushiba.
Tatizo la vijana siyo nguvu za kiume lakini ni stress. Kukata Tamaa, kukosa ajira, Maisha magumu, mishahara midogo mwisho wa siku wanakuwa na uraibu wa ngono. Ulevi na kubeti.
Nakwambia Kauli yako imefedhehesha sana watu wanaojielewa.
Rais ana vyombo vingi vya kumpa taarifa...Kama vijana nguvu za kiume hawana,mustakabali wa taifa unakuwa wapi!?...unaona no dogo watu wanaotakiwa kuzaa kushindwa kuzaa,unafikiri sawasawa!?Amekutana na kijana yupi akathibitisha kwamba ni kweli hatuna nguvu za kiume?
mambo mengine sio ya kutamka, lazima utende kabisa uuone ukweli!
Ulitaka aongee kakunja sura,akifoka na kuliaAliongea kimzaha kwenye swala la msingi......na ndo tatizo la watu weusi na viongozi wao, hawawezi ku-address issues critically na badala yake wanajificha kwenye mizaha na story za vijiweni za saratani kusababishwa na samaki waliohifadhiwa na maji ya kuoshea maiti. Acha tuendelee kuwa wasindikizaji wa tunaowaita mabeberu......
Inafikirisha kwei;Africans tunaswagwa Tu kama ng'ombe hatujui tunaelekea wapi. Ila anatuswaga ndo anajua anakotupeleka.
Hoja ya msingi hivi ni kweli nguvu za kiume ndo tatizo kubwa kwa vijana wa kitanzania. Mkuu wa Nchi unaamka unauambia ulimwengu vijana wangu Wana upungufu wa nguvu za kiume kwamba nalo ni tatizo la kuangaliwa, Kwa hiyo ngono ndo imetawala mawazo ya waafrika
Hii kauli inatakiwa kutolewa na mtu mdogo Sana labda Naibu Waziri wa Afya au Waziri wa Michezo.
Unapoongelea Lishe mkuu wa nchi unatakiwa uangalie je vijana wako wanapata lishe ya kutosha. Ukizingatia na mfumuko huu wa bei je watoto na vijana wanapata Milo kamili.
Pengine ungeongelea hata kudhibiti mfumuko wa bei wa vyakula japo watu wapate kula na kushiba.
Tatizo la vijana siyo nguvu za kiume lakini ni stress. Kukata Tamaa, kukosa ajira, Maisha magumu, mishahara midogo mwisho wa siku wanakuwa na uraibu wa ngono. Ulevi na kubeti.
Nakwambia Kauli yako imefedhehesha sana watu wanaojielewa.
Ulitaka aongee kakunja sura,akifoka na kulia
Wewe na rais nani ana takwimu!?..mpaka kitengo Cha kushughulikia nguvu za kiume kuanzishwa muhimbili bdo unaamini hakuna tatizo!?..hao wanaomudu lishe Bora hawana tatizo la nguvu za kiume!?Kwa hiyo wewe na rais mmeona tatizo lililopo ni nguvu za kume na siyo lishe duni inayoathiri ukuaji wa watoto na vijana na kusababisha udumavu wa kimwili na kiakili, siyo? Unaweza kuleta takwimu hapa kuonyesha uwezo wa watu kuzaliana umepungua kutokana na kukosekana nguvu za kiume na hivyo kuathiri idadi ya watu na nguvu kazi ya taifa?
Kwa hiyo tatizo la msingi udumavu unaosababishwa na lishe duni, au ni nguvu za kiume?Wewe na rais nani ana takwimu!?..mpaka kitengo Cha kushughulikia nguvu za kiume kuanzishwa muhimbili bdo unaamini hakuna tatizo!?..hao wanaomudu lishe Bora hawana tatizo la nguvu za kiume!?
Tanzania Ina matatizo mengi..na ugonjwa wa akili linakuja kwa kasiKwa hiyo tatizo la msingi udumavu unaosababishwa na lishe duni, au ni nguvu za kiume?
Hoja ya msingi hivi ni kweli nguvu za kiume ndo tatizo kubwa kwa vijana wa kitanzania. Mkuu wa Nchi unaamka unauambia ulimwengu vijana wangu Wana upungufu wa nguvu za kiume kwamba nalo ni tatizo la kuangaliwa, Kwa hiyo ngono ndo imetawala mawazo ya waafrika
Hii kauli inatakiwa kutolewa na mtu mdogo Sana labda Naibu Waziri wa Afya au Waziri wa Michezo.
Kwaiyo unataka serikali imsaidie mtu asikate tamaa?Africans tunaswagwa Tu kama ng'ombe hatujui tunaelekea wapi. Ila anatuswaga ndo anajua anakotupeleka.
Hoja ya msingi hivi ni kweli nguvu za kiume ndo tatizo kubwa kwa vijana wa kitanzania. Mkuu wa Nchi unaamka unauambia ulimwengu vijana wangu Wana upungufu wa nguvu za kiume kwamba nalo ni tatizo la kuangaliwa, Kwa hiyo ngono ndo imetawala mawazo ya waafrika
Hii kauli inatakiwa kutolewa na mtu mdogo Sana labda Naibu Waziri wa Afya au Waziri wa Michezo.
Unapoongelea Lishe mkuu wa nchi unatakiwa uangalie je vijana wako wanapata lishe ya kutosha. Ukizingatia na mfumuko huu wa bei je watoto na vijana wanapata Milo kamili.
Pengine ungeongelea hata kudhibiti mfumuko wa bei wa vyakula japo watu wapate kula na kushiba.
Tatizo la vijana siyo nguvu za kiume lakini ni stress. Kukata Tamaa, kukosa ajira, Maisha magumu, mishahara midogo mwisho wa siku wanakuwa na uraibu wa ngono. Ulevi na kubeti.
Nakwambia Kauli yako imefedhehesha sana watu wanaojielewa.