Kauli ya Waziri Mkuu kuhusu Sensa ni vyema ingefanyiwa kazi

Kauli ya Waziri Mkuu kuhusu Sensa ni vyema ingefanyiwa kazi

Sensei Tai

Senior Member
Joined
May 26, 2022
Posts
168
Reaction score
466
Nakumbuka kuna siku Waziri mkuu alisema wazi kwamba vijana ambao hawana ajira ndio wapewe kipaumbele katika kupata ajira za Sensa

Kwasasa ukipitia mitandaoni utaona kila mtu ni sawa na muamba ngoma ambae huvutia kamba upande wake .

Kuna watumishi wa umma ambao wanajiona wao ni bora sana kiasi kwamba wanahisi wao ndio wanastahili kufanya hii kazi na kuna wale vijana ambao ni graduates na hawana ajira ambao pia nao wanaona kwamba hizi kazi ni bora wangepewa wao sababu hawana ajira.

Binafsi naona hizi ajira wangepewa tu vijana ambao hawana ajira sababu inaweza ikawa ndo kama njia ya wao kujipatia angalau mitaji ya biashara.

Watumishi wana mishahara kila mwezi, hata kama ni midogo kiasi gani lakini inawasaidia kuendesha maisha tofauti na kijana ambae hana ajira ambapo kwake kila kukicha ni afadhali ta jana.

Nina inani kabisa kwamba serikali yetu ni sikivu na itaenda kutenda haki.
 
Hizi ajira wapewe waajiriwa ama sio waajiriwa ila kigezo kiwe digrii mbili(masters degree )na kuendelea.

Takwimu muhimu za nchi kama hizi huwezi achia watu wenye elimu ndogo kama undergraduates.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hizi ajira wapewe waajiriwa ama sio waajiriwa ila kigezo kiwe digrii mbili(masters degree )na kuendelea.

Takwimu muhimu za nchi kama hizi huwezi achia watu wenye elimu ndogo kama undergraduates.

#MaendeleoHayanaChama
Masters ???? 🤔
 
Hizi ajira wapewe waajiriwa ama sio waajiriwa ila kigezo kiwe digrii mbili(masters degree )na kuendelea.

Takwimu muhimu za nchi kama hizi huwezi achia watu wenye elimu ndogo kama undergraduates.

#MaendeleoHayanaChama
Acha upuuzi wewe.

Kwa kazi gani kubwa hapo ?

Hiyo kazi hata mtu wa form fouur akishapewa semina tu anaweza kuifanya.
 
Nakumbuka kuna siku Waziri mkuu alisema wazi kwamba vijana ambao hawana ajira ndio wapewe kipaumbele katika kupata ajira za Sensa

Kwasasa ukipitia mitandaoni utaona kila mtu ni sawa na muamba ngoma ambae huvutia kamba upande wake .

Kuna watumishi wa umma ambao wanajiona wao ni bora sana kiasi kwamba wanahisi wao ndio wanastahili kufanya hii kazi na kuna wale vijana ambao ni graduates na hawana ajira ambao pia nao wanaona kwamba hizi kazi ni bora wangepewa wao sababu hawana ajira.

Binafsi naona hizi ajira wangepewa tu vijana ambao hawana ajira sababu inaweza ikawa ndo kama njia ya wao kujipatia angalau mitaji ya biashara.

Watumishi wana mishahara kila mwezi, hata kama ni midogo kiasi gani lakini inawasaidia kuendesha maisha tofauti na kijana ambae hana ajira ambapo kwake kila kukicha ni afadhali ta jana.

Nina inani kabisa kwamba serikali yetu ni sikivu na itaenda kutenda haki.
Mwenye nacho ataongezewa, mi naona hiyo kauli itumike maana ng'ombe wa masikini hazai.
Graduate ambae Hana kazi bas ujue kwao ni masinini, na pia elimu aliyoipata haijamkomboa.
 
Mimi ni graduates nina degree sijaajiriwa ila nikikatwa hii kazi akapewa form 4 ambaye ni kama mimi hajajiriwa ni sawa tena nakubaliana kwa asilimia 100

tena bora degree wawe wachache form 4 wawe wengi hawa vijana wako wengi sana kitaa hawasomeki


Lakin wasituletee upupu wa kuwapa hawa wenye ajira waliopo makazini watulize matako yao kwani mshahara hauwatoshi
 
Nakumbuka kuna siku Waziri mkuu alisema wazi kwamba vijana ambao hawana ajira ndio wapewe kipaumbele katika kupata ajira za Sensa

Kwasasa ukipitia mitandaoni utaona kila mtu ni sawa na muamba ngoma ambae huvutia kamba upande wake .

Kuna watumishi wa umma ambao wanajiona wao ni bora sana kiasi kwamba wanahisi wao ndio wanastahili kufanya hii kazi na kuna wale vijana ambao ni graduates na hawana ajira ambao pia nao wanaona kwamba hizi kazi ni bora wangepewa wao sababu hawana ajira.

Binafsi naona hizi ajira wangepewa tu vijana ambao hawana ajira sababu inaweza ikawa ndo kama njia ya wao kujipatia angalau mitaji ya biashara.

Watumishi wana mishahara kila mwezi, hata kama ni midogo kiasi gani lakini inawasaidia kuendesha maisha tofauti na kijana ambae hana ajira ambapo kwake kila kukicha ni afadhali ta jana.

Nina inani kabisa kwamba serikali yetu ni sikivu na itaenda kutenda haki.
Sasa mdogo wangu upewe dhamana kisa una smart phone uliyonunua kwa buku ebu achieni baba zenu kaka zenu wafanye kazi zenye dhamana
 
Vijana walio wengi wanadhani watapewa kazi kwa kulialia. Kwenye hili soko la ushindani sijui itakuaje!

Ikiwa unakidhi vigezo wewe omba tu, uwe umeajiriwa uwe haujaajiriwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ajira wapewe waajiriwa ama sio waajiriwa ila kigezo kiwe digrii mbili(masters degree )na kuendelea.

Takwimu muhimu za nchi kama hizi huwezi achia watu wenye elimu ndogo kama undergraduates.

#MaendeleoHayanaChama
Jiheshimu.
 
Nani alikutuma ukose masters..rudi shule ukajipatie masters ndio uanze kutoa povu lako.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaidhalilisha master sana mkuu.

Masta akafanye kazi ya kuhesabu watu ?

Ama kweli ndio maana watu wenye master wanahangaika na vyeti kutafuta ajira za laki tatu kwa mwezi kumbe akili zenyewe ndio kama wewe hapa.
 
Back
Top Bottom