Kauli za LATRA kuhusu namba za magari, kuelekea 17 Machi zimelenga kumhujumu Mama?

Hv ht ukiisoma mwenyewe unaelewa ulichoandika?
 
Hv ht ukiisoma mwenyewe unaelewa ulichoandika?

Wameelewa wangapi? Huoni mwenye matatizo ni wewe?

Angalizo:

Ukienda kwa vinyozi 5 wote wanakunyoa vibaya, chukua muda kukiangalia kichwa chako; yawezekana ndicho chenye nundu!
 
Nadhani utakumbuka nilivyokuwa nakuasa kuwa JPM atakumbukwa kuliko waliomfuatia Mwalimu. Nitakuletea hapa comments hizo hapo baadaye. Ila barikiwa kwa kuliona hili. Bado akina Retired na wenzake
 
Haya ndio matokeo ya watz kutokujitambua na kupenda ushabiki au uchawa badala ya kuwakemea watawala ambao kila kukicha hubuni jinsi ya kuwanyonga na kuwafanya wazidi kuwa maskini
 
Siyo kweli mkuu.

Hilo tangazo ni rpute mpya ya magari yanayoingia Mwenge Stendi.

Siyo kwa magari yote kaka.
 
Nadhani utakumbuka nilivyokuwa nakuasa kuwa JPM atakumbukwa kuliko waliomfuatia Mwalimu. Nitakuletea hapa comments hizo hapo baadaye. Ila barikiwa kwa kuliona hili. Bado akina Retired na wenzake

1. Ninao uhakika hutaiona yangu moja yenye tuhuma yoyote dhidi yangu kama ulivyoziweka hapa.

2. All in all JPM asingekubaliana na upuuzi huu.

3. Kwa hakika katika mema: "atakumbukwa kama kwa yale mengine.

4. Maisha ni hadithi.

Uwe na siku njema.
 
Mtaburuzwa sana sababu hamjui haki zenu endelezeni uchawa kama ndugu yenu mwashambwa
 
Tanzania ina shida, uchakavu au uzamani wa gari hautegei namba ya usajiri bali mwaka ambao chombo hicho kimetengenezwa pamoja na matumizi/matunzo
 
Siyo kweli mkuu.

Hilo tangazo ni rpute mpya ya magari yanayoingia Mwenge Stendi.

Siyo kwa magari yote kaka.

Mada umeisoma? Mwanzo wa ngoma ni lele. Unajua hili wakifanikiwa wataishia wapi?



Kama magari ya miaka 1950s yanatembea America sisi nani?

Ubora wa gari ni namba ya usajili?
 
Si nilisema JPm hatoshi?subirini sasa akili ziwasogee.mnadhani mko salama wakati ni swala la muda tu
 
Umezunguuka sana kumbe lengo lako ni kumtaja mungu wako aliyekufa 17,march!
 
Mada umeisoma? Mwanzo wa ngoma ni lele. Unajua hili wakifanikiwa wataishia wapi?

View attachment 2935104

Kama magari ya miaka 1950s yanatembea America sisi nani?

Ubora wa gari ni namba ya usajili?
Gari ili ipate leseni ya Latra ni lazima iwe na VIR (Vehicle inspection report) , so licha ya namba lakini zinakaguliwa pia.

Mbona TRA wanakataa gari za zaidi ya 0 nyuma kuingia nchini else ulipie uchakavu wa gari husika?

Latra wameset standards kwa maana kubwa , zije hizo za DTA kuja mbele lakini pia Ukaguzi unafanywa na Mamlaka husika ya ùkaguzi (Trqffic) kwa ajili ya kuangalia road worthiness.

Mwenge stend hayatakiwi magari makuukuu kwa sasa, acheni siasa
 

1. Standards kama ni za kijinga au za kibaguzi kuzikataa ni wajibu siyo siasa; labda kama wao wana agenda ya siasa kinyemela.

2. Kwamba tokea mamlaka ya ukaguzi, road worthiness gari limefuzu.

3. #2 hapo ila limekwama Kwa sababu namba siyo D au E?

4. #3 hapo, kwani zinazobeba watu ni namba au gari?

5. Mambo ya kibaguzi au kijinga si mpeleke mashambani mwenu huko.

6. Ngoja tuone; Mama achague kusuka au kunyoa; Ubabaishaji kama huu Kwa dhamana yetu haukubaliki!
 
Ugumu wa nchi hii tunauendekeza wenyewe kwa kuyaona na bado tukaendelea kujidanganya kuwa hayatuhusu. Hadi pale yatakapotukuta malangoni.
Sijaona tamko la LATRA kama unalo please share ili niweze kutoa maoni yangu kwa usahihi
 
Sijaona tamko la LATRA kama unalo please share ili niweze kutoa maoni yangu kwa usahihi

1. Mkuu lisenwalo lipo kama halipo laja.

2. Kimsingi yapo mawili yanayoongelewa nao hawajakanusha:

a) kuuingia city center liwe DZA kwenda mbele.
b) kuingia Mwenge Stendi, kwa mujibu wa mheshimiwa Leak (bila shaka mwenzao huyo) ni DTX kwa kwenda mbele.

3. Angalia nukuu hizi:

a) Daladala rasmi kurudi upya katikati ya Jiji la Dar-es-salaam mara baada ya mradi wa mwendokasi kushindwa kutoa huduma ipasavyo



b)

Siyo Bure!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…