Wale wale, wenye vipaji mbatata kama bwana mmoja kwenye uzi huu:
Kagame na Rwanda baada yake, "Kumbe vitini ni Maumivu"
nimemwandikia haya:
Bila shaka ni wale wenye vipaji cha ujinga mbatata kwenye ubora wako:
1. Tukiandika kuhusu haki za panya road huitwa "panya road."
2. Tukiandika kuhusu wanafunzi LST huitwa tuliofeli mitihani huko.
3. Tukiandika neno la pongezi kwa jambo zuri kuhusu Chadema huitwa Bavicha
4. Tukisifu jambo kafanya Zitto huitwa ACT.
5. Tukilaani udhwalimu wa Israel Gaza huitwa waislam.
6. Tukiandika kuhusu haki za watu wa jinsia moja huitwa LGBTQ.
7. Nk nk.
Kwamba hapa tumeandika habari yenye mafunzo tokea tulikoiona kwa manufaa ya wengine. Kwamba kwako kwa hivyo tu, tumekuwa watusi siyo?!
Wewe kama MK254 mtaelimika lini "mamb*rula" nyie?
Kwamba kuhusu LATRA dhidi ya haki za wengine tayari umeona ni wa dala dala?
Kwani wewe ni LATRA ndiyo umekuja sasa kuthibitisha msimamo?
Kwa hakika nisiache kukusajili katika wajinga wenzio hao:
Hivi, wewe kama wale mamburula wenzio MK254, mngony mtaelimika lini nyie?
Bure kabisa!