Kauli za Ma Ex

Lahaulaah laufith
 
X - “ila sawa umeniumiza sana, sitaki tujuane”

XX-“Utanikumbuka,hutapata mwanamke mwenye upendo kama mimi”

XXX-“Tusiwe na uadui, ili nikifika Daslam tusitiriane”

XXXX-“Mungu akipenda tutaonana, Tanzania”

XXXXX- Ilikuwa silent, na akahama na mji.

XXXXX- tuliachana Frankfurt airport, anaelekea OR Tambo, nakuja JNIA.

Inatosha………
 
Yaan hii kaul yakuw hutapata mwingine kama mimi huwa wanaongea kwa kujiamn kama vile wanaiona kesho yako😀😀😃
 
Kiporo kinataka kupashwa

Hahah kwa usiniambie saivi ameanza upya kupiga Sound[emoji3][emoji3]
Na wew hukumbuki chchot kuhusu yeye
Kw kifupii hanistuiii tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anavojishobokesha kwangu sasa, nabaki kusemaaa hisanii imekuaje tenaa. Lol
 
Mi niliambiwa sijui uliniroga wewe mwanaume mimi na wewe ni mbingu na ardhi .Demu kichwa sana yule tatizo maujeuri na kiburi.
 
Kw kifupii hanistuiii tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anavojishobokesha kwangu sasa, nabaki kusemaaa hisanii imekuaje tenaa. Lol
Itakuwa kuna mahali pameongezeka sa Roho inamuuma😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…