Kauli za Ma Ex

Kauli za Ma Ex

Aliondoka Kwa kashfa alafu akasema nitapata tabu sana yeye ndo mwanaume wa maana na kapta mwanamke mzuri na anamprnda,Sasa my wangu sijui kakumbwa na nn sikuhiz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]doh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii bhanaaa.
 
"Nilikua na wee kwa hisani tyuuh kwako, na sahivi hisani yangu imeishaaa"

Hapooo ndo naachwaa aani, wakati huo nimezamaaa kwake, na mapenzi ndo nayaanza. Nusu niwehukwe kuwa chizi, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Siku nakutana nae mlimani main campus, anasema "daaah mtoto unazidi kushynee tyuuh"

nkamjibu "ndyooo nimempata mtu wa kunisitiri sahivi hisani si uliondoka nayo wee" alitazama chini kwa aibuuu.

Now muda wote kunifuatiliaaa. Afu mie hata mshipa wa nyege haustuki kwake.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"Nilikua na wee kwa hisani tyuuh kwako, na sahivi hisani yangu imeishaaa"

Hapooo ndo naachwaa aani, wakati huo nimezamaaa kwake, na mapenzi ndo nayaanza. Nusu niwehukwe kuwa chizi, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Siku nakutana nae mlimani main campus, anasema "daaah mtoto unazidi kushynee tyuuh"

nkamjibu "ndyooo nimempata mtu wa kunisitiri sahivi hisani si uliondoka nayo wee" alitazama chini kwa aibuuu.

Now muda wote kunifuatiliaaa. Afu mie hata mshipa wa nyege haustuki kwake.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli sijui wanatuonaje yaani
 
😃😃 huttopata mwingine ka mimi afu lenyewe kutwa kunitafutatafuta 😂😂😂😂
Kiporo kinataka kupashwa
"Nilikua na wee kwa hisani tyuuh kwako, na sahivi hisani yangu imeishaaa"

Hapooo ndo naachwaa aani, wakati huo nimezamaaa kwake, na mapenzi ndo nayaanza. Nusu niwehukwe kuwa chizi, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Siku nakutana nae mlimani main campus, anasema "daaah mtoto unazidi kushynee tyuuh"

nkamjibu "ndyooo nimempata mtu wa kunisitiri sahivi hisani si uliondoka nayo wee" alitazama chini kwa aibuuu.

Now muda wote kunifuatiliaaa. Afu mie hata mshipa wa nyege haustuki kwake.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah kwa usiniambie saivi ameanza upya kupiga Sound😀😀
Na wew hukumbuki chchot kuhusu yeye
 
Habari ya muda huu wana JF,

Kama kichwa cha habari kinavyosema, katika mahusiano pindi yanapokaribia kufikia tamati kuna kauli ambazo mpenzi wako huwa anazitoa kwako
Zinaweza kuwa nzuri au mbaya lakin naamini Asilimia 90% huwa ni mbaya

Binafsi mimi kuna kauli moja niliambiwa nikabaki naduwaa
"Najua mimi sio mzuri lakini huwezi kumpata aliye bora kunizidi mimi"

Je, wewe ulipewa kauli gani ambayo hadi leo unaikumbuka?
Alinambia “Capone, kamwe hutapata mwanamke anayekupenda kama mimi”
Nilimwambia aache utani wake

Mwingine aliwahi nambia siku namuomba tuachane “Wewe nenda unakotaka ila ukijisikia kurudi rudi tu”

Kweli mpaka leo naendaaa Nikiona sielewi narudi na nampa mirejesho ya huko nilikotoka, ananiona kama mwanae

Mwingine alisema “Siwezi acha kukupenda labda Nikipata uthibitisho kuwa kweli umenifanyia ubaya”

Lakini huyu hajibu texts zangu

Mwingine alinipa laana eti “Capone nakuchukia nakuchukia nakuchukia sana na sintakusamehe mpaka naingia kaburini”

Nikamwambia sweetheart wewe ni mzinzi kama mimi unatoa wapi hiyo nguvu ya kunipa laana? Ila usijichoshe hakuna kitu kitanipata


Mwingine alisema “Unaniita ili unit*mb* ya mwisho mwisho, sitaki wewe nenda tu”
Ila alikuja na alichodhania ni kweli kilitokea
Aah wengine nimesahau walisemaje nikikumbuka nitawaambia
 
Back
Top Bottom