Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Tulipigana kibuti lakini nilipigwa matukio balaa nikaona eeh niende tu Sasa kachakaa mbwa yule ππKwa hiyo nani alimpiga kibuti mwenzake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulipigana kibuti lakini nilipigwa matukio balaa nikaona eeh niende tu Sasa kachakaa mbwa yule ππKwa hiyo nani alimpiga kibuti mwenzake?
π€£π€£π€£ daaahTulipigana kibuti lakini nilipigwa matukio balaa nikaona eeh niende tu Sasa kachakaa mbwa yule ππ
Na huyo mwanamke mwenyew wameachana ππππ€£π€£π€£ daaah
Saivi amefulia?π€
Kajuaje kitumbua chake kitamu? [emoji3]"Kmmk SYB hutakaa upate demu mwenye kitumbua kitamu kama changu....."
Nilimwangalia sikummaliza.....
View attachment 2489424
Mpwaπππ"Kmmk SYB hutakaa upate demu mwenye kitumbua kitamu kama changu....."
Nilimwangalia sikummaliza.....
View attachment 2489424
Napitia comments.Na huyo mwanamke mwenyew wameachana [emoji23][emoji23][emoji23]
ππMupenzi
X namba ake ya simu, au kukaribiana nae barabarani kumpa salamu ya kazi gani?Habari ya muda huu wana JF,
Kama kichwa cha habari kinavyosema, katika mahusiano pindi yanapokaribia kufikia tamati kuna kauli ambazo mpenzi wako huwa anazitoa kwako
Zinaweza kuwa nzuri au mbaya lakin naamini Asilimia 90% huwa ni mbaya
Binafsi mimi kuna kauli moja niliambiwa nikabaki naduwaa
"Najua mimi sio mzuri lakini huwezi kumpata aliye bora kunizidi mimi"
Je, wewe ulipewa kauli gani ambayo hadi leo unaikumbuka?
Huyo katilisanaNimewahi kuambiwa..
"Niliisha kuua kitambo tu kaandae kaburi"
Tulikuwa hatujapima muda wote wa mahusiano wa mwaka mmoja. But sikuwahi kwenda nyama kwa nyama.
Ilibidi nikapime nikajikuta nipo poa sana. Ila nilipata stress aisee.
Kwa hiyo unafurahi mwenyeweπ€£π€£π€£Na huyo mwanamke mwenyew wameachana πππ
Sana πππKwa hiyo unafurahi mwenyeweπ€£π€£π€£
Kurudi Kwa ex ni kutokujitambua Tena hasa Hawa wanaojifanya miungu watu"Hapa kwangu utarudi tuu" aliniambia siku nabwaga manyanga.
Kuda deqππππTena zaid yake[emoji23]alf kuna sku nkamchana nkamwambia uliniambia hv na hv
Kila siku asubuhi anakuamsha amaππππAliondoka Kwa kashfa alafu akasema nitapata tabu sana yeye ndo mwanaume wa maana na kapta mwanamke mzuri na anamprnda,Sasa my wangu sijui kakumbwa na nn sikuhiz ππππdoh
Wese likikaa sana mwilin n tatz jingineIlikuwa ni meseji
Baada ya kusikia ninanunua malaya wa mtandaoni kwenye kumbembeleza kuwa sio habari za kweli akanitumia hiyo meseji
Hyo kauli inakufanya unajiona kam mshindi fulan iviππKwa kuwa ulishapata ulichotaka, poa