Kauli za Ma Ex

Kauli za Ma Ex

Aliniambia nikipata mwanamke mkali kumzidi nimwite mbwa, amekaa paleeee[emoji1787]

But guess what, niko nafatilia form ya umiss Tanzania ya shemeji yenu 2023[emoji2960]
Hizi taarifa akizpta lazm kchwa iwake moto upande mmoja😄
 
"Kmmk SYB hutakaa upate demu mwenye kitumbua kitamu kama changu....."

Nilimwangalia sikummaliza.....

Screenshot_20230104-210204_Instagram.jpg
 
Aliondoka Kwa kashfa alafu akasema nitapata tabu sana yeye ndo mwanaume wa maana na kapta mwanamke mzuri na anamprnda,Sasa my wangu sijui kakumbwa na nn sikuhiz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]doh
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom