Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulitaka aje na mikakati ya kutokomeza uhalifu na siyo kuja na kauli za kibabe ad suluhisho...Acheni kutetea vitu visivyo na maantiki, kwa hiyo mlitaka aseme wakawaangalie hao watoto hotelini? Au kanisani? Au misikitini?
Mikakati ni pamoja na kuwatokomezaa Kama ukunguTulitaka aje na mikakati ya kutokomeza uhalifu na siyo kuja na kauli za kibabe ad suluhisho...
Grow up
Ni rahisi tu kuwajua wala msicomplicate operation ionekane ngumu kiasi hikoHofu ya aliyetoa hii mada ni huenda ambae sio panya road nae akashughulikiwa. Tatizo lipo hapo. Umakini unahitajika. Usifikiri kwamba panya road Wana alama sehemu kwamba inakua rahisi polisi kuwajua. Hapo Kuna mambo ya kutajana na Kuna ambao hawahusiki nao watakuwemo
Aombe radhi Kwa wazazi wa Panya road? Huna akili.Kauli iliyotolewa na Mkuu wa wa Dar, Amos Makala, kwa wazazi wa watoto kuwa atakayemkosa mtoto wake nyumbani, basi anapaswa aende kituo cha Polisi au hospitali kwenda angalia kama yuko huko, ni kauli ya vitisho visivyokuwa na msingi na ni kauli ambayo inakiuka Haki za Binadamu...
Hhhhhhhhhhhhhh nimecheka sana aideIla madogo acha washikishwe adabu, maana ndo tunaitwa wanaume wa Dar, yaani hatujiwezi kwa lolote mpaka tunatishwa na hivi vitoto viteja.
Hasara kwa TaifaMikakati ni pamoja na kuwatokomezaa Kama ukungu