Kauli zao zinapoteza matumaini mengi ya wengi

Kauli zao zinapoteza matumaini mengi ya wengi

Ni kweli. Serikali inabidi wawe macho kwenye hili. Naomba nipigie kura kiongozi, pia usiache kulike hapo mwisho wa hiyo habari
Mwalimu analilia ajira akipata akipangiwa buhigwe anaanza kutafuta uhamisho arudi dar au karibu na dar ndo maana utakuta wanajazana mjini wakipangiwa vijijini wanakimbia kwa style hyo hatuwezi ku solve tatizo la ajira na uhaba wa walimu kwa ujumla.
 
Mungu mkubwa. Naomba kura Yako ndugu,pia usisahau kulike hapo chini
 
TATIZO watoto wao hawajasomea kozi hizo. Watoto wa maskini ndio wamejazana huko. Kwa sasa kumsomesha mtoto kozi ambazo hawezi kujikwamua mwenyewe ni ujuha.

Kuna kozi hazistaili kuendelea kudaili kwa sasa ila hawawezi kukukwambia maana nao wanataka pesa.

JANGA LINGINE NI KOZI ZA AFYA ZA D-4
Ni kweli kabisa. Ndiyo maana hawaoni maumivu ya fukara kama sisi,ambao wazazi wanaumia huku
 
dunia ya leo sio ya kufundishana Mambo ya historia za mkwawa ,ni dunia ya sayansi ,muwe mnawa3lekeza watt wasome masomo ya sayansi ,tatzo wengi wanaona sifa kukimbilia chuo kukuu halafu course ni buchela ya ualimu art [emoji28],si bola angeenda veta akachukie ujuzi wa kujiajiri.
 
Kwanza nianze Kwa kumshukuru Mungu Kwa uzima na afya anayonijalia SIKU zote.

Pia nawashukuru JF Kwa kuweza jukwaa hili ili kuibua na kuendeleza mawazo yaliyokosa pa kusema.

Wahenga walisema kuwa uyaone. Msemo mwepesi lakini uliobeba majonzi Kwa wale tunaoyaona sasa.

Kwanini wanaendelea kudahili walimu wa masomo ya Sanaa ikiwa wanasema tupo wengi au tumetosheleza mashuleni. Kisiasa ndiyo, lakini kiuhalisia hapana.

Leo natamani kusema wazi kuwa, mioyo ya wengi wanaohitimu vyuo Kwa masomo ya Sanaa imekufa na kupondeka sana. Hivi ni kweli walimu wa Sanaa( Arts) wapo wengi mashuleni? Nulizana nawe mdau wa jukwaa hili.

Huku mtaani WAZAZI WA wahitimu wa ualimu Kwa masomo ya Sanaa tumevunjika moyo kabis na kauli za wanasiasa katika Serikali yetu pendwa, Kwa kauli ya kusema hatuwezi kuajiri walimu wa Sanaa kwa kuwa wapo wengi, hivi mnafahamu maumivu na mateso wanayopotia WAZAZI ambao walipambana kwa shida na ugumu kusomesha watoto zao?

WAZAZI wengine Wamepata hata magonjwa makubwa kwa kuhangaikia masomo ya watoto wao kwenye kuwalipia ada, Leo hii kijana au Binti anaambiwa ajira kipaumbele Kwa waliosoma sayansi. Usawa unazingatiwaje hapo?

Nafikiri ifike kipindi Serikali iamue kuacha kudahili wanafunzi katika masomo hayo,ili kuondoa sintofahamu za wenye matumaini. Lakini ikumbukwe nchi haijengwi na wanasayansi tu, Kila mwenye taaluma Fulani anashiriki katika kujenga nchi.

Ukija katika uhalisia mashuleni walimu wa hayo masomo ya Sanaa ni wachache sana,waliopo wanazidiwa na mzigo mzito,hii ni mfano halisi kabisa,kwani Kuna shule ya msingi hapa jirani kwetu walimu wachache Kwa masomo yote. Lakini je nini dhima hasa ya kuona walimu wa masomo ya Sanaa kama hawahitajiki Kwa sasa?

Kwa kuwa mfumo wetu wa elimu haumtengenezi mwanafunzi kujiajiri,ni budi Serikali ambaye ndiye mwajiri wa kundi kubwa kulitazama suala hili Kwa kina.

Walimu wa masomo haya ya Sanaa Wana matumaini na ndito zao, hivyo zisikatishwe Kwa kauli za kisiasa ambazo zinapelekea kuonekana walimu wa Sanaa kama ni ziada tu katika jamii? Au ndiyo tuamini msemo kuwa " aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa"

Kwa kuhitimisha naomba serikali ikiwezekana waache kudahili walimu kwenye kada ya ualimu wa Sanaa ili pengine kusimamia diri ya kisiasa iliyopo.
Safi sana
 
Yeah! Nepotism... kama unaona mafekeche yanaweza kufanyika,ni kusoma tu.Kwa MAMA,mianya mingi
Kabisa Yani. Naomba tumpigie kura hapo ndugu yetu tonytz na kulike hapo chin. Pia ameandika nyingine ( tudumishe kiswahili Kwa maendeleo endelevu na nyenzo ya kudai haki 2. Jicho la wataalamu wa elimu katika mitaala ya elimu. Search Kwa kuyandika vichwa hivyo,utaletewa habari nzima,isome Kisha comment,like na vote Kwa kumsupport.
 
Kwanza nianze Kwa kumshukuru Mungu Kwa uzima na afya anayonijalia SIKU zote.

Pia nawashukuru JF Kwa kuweza jukwaa hili ili kuibua na kuendeleza mawazo yaliyokosa pa kusema.

Wahenga walisema kuwa uyaone. Msemo mwepesi lakini uliobeba majonzi Kwa wale tunaoyaona sasa.

Kwanini wanaendelea kudahili walimu wa masomo ya Sanaa ikiwa wanasema tupo wengi au tumetosheleza mashuleni. Kisiasa ndiyo, lakini kiuhalisia hapana.

Leo natamani kusema wazi kuwa, mioyo ya wengi wanaohitimu vyuo Kwa masomo ya Sanaa imekufa na kupondeka sana. Hivi ni kweli walimu wa Sanaa( Arts) wapo wengi mashuleni? Nulizana nawe mdau wa jukwaa hili.

Huku mtaani WAZAZI WA wahitimu wa ualimu Kwa masomo ya Sanaa tumevunjika moyo kabis na kauli za wanasiasa katika Serikali yetu pendwa, Kwa kauli ya kusema hatuwezi kuajiri walimu wa Sanaa kwa kuwa wapo wengi, hivi mnafahamu maumivu na mateso wanayopotia WAZAZI ambao walipambana kwa shida na ugumu kusomesha watoto zao?

WAZAZI wengine Wamepata hata magonjwa makubwa kwa kuhangaikia masomo ya watoto wao kwenye kuwalipia ada, Leo hii kijana au Binti anaambiwa ajira kipaumbele Kwa waliosoma sayansi. Usawa unazingatiwaje hapo?

Nafikiri ifike kipindi Serikali iamue kuacha kudahili wanafunzi katika masomo hayo,ili kuondoa sintofahamu za wenye matumaini. Lakini ikumbukwe nchi haijengwi na wanasayansi tu, Kila mwenye taaluma Fulani anashiriki katika kujenga nchi.

Ukija katika uhalisia mashuleni walimu wa hayo masomo ya Sanaa ni wachache sana,waliopo wanazidiwa na mzigo mzito,hii ni mfano halisi kabisa,kwani Kuna shule ya msingi hapa jirani kwetu walimu wachache Kwa masomo yote. Lakini je nini dhima hasa ya kuona walimu wa masomo ya Sanaa kama hawahitajiki Kwa sasa?

Kwa kuwa mfumo wetu wa elimu haumtengenezi mwanafunzi kujiajiri,ni budi Serikali ambaye ndiye mwajiri wa kundi kubwa kulitazama suala hili Kwa kina.

Walimu wa masomo haya ya Sanaa Wana matumaini na ndito zao, hivyo zisikatishwe Kwa kauli za kisiasa ambazo zinapelekea kuonekana walimu wa Sanaa kama ni ziada tu katika jamii? Au ndiyo tuamini msemo kuwa " aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa"

Kwa kuhitimisha naomba serikali ikiwezekana waache kudahili walimu kwenye kada ya ualimu wa Sanaa ili pengine kusimamia diri ya kisiasa iliyopo.
Kabisa yani
 
Nawashukuru Kwa support zenu. Naomba mzidi kunipigia kura na likes zenu
 
dunia ya leo sio ya kufundishana Mambo ya historia za mkwawa ,ni dunia ya sayansi ,muwe mnawa3lekeza watt wasome masomo ya sayansi ,tatzo wengi wanaona sifa kukimbilia chuo kukuu halafu course ni buchela ya ualimu art [emoji28],si bola angeenda veta akachukie ujuzi wa kujiajiri.
Sawa. Ni mawazo Yako mkuu. Nayapokea. Lakini je unaamini kama watu wote wanauwezo wa kusoma masomo ya sayansi?
 
Mjiajiri muwe wabunifu ili kuishi sasa mtabaki mnalialia hamna ajira kwani ni ninyi tu mnaoiahi hapa Tanzania? Undeni hata kikundi mkae mjiulize mfanyaje
 
Mjiajiri muwe wabunifu ili kuishi sasa mtabaki mnalialia hamna ajira kwani ni ninyi tu mnaoiahi hapa Tanzania? Undeni hata kikundi mkae mjiulize mfanyaje
Shukrani Kwa ushauri mzuri. Walengwa tunaupokea. Ila kinachotesa ni historian tofauti za maisha, Kuna wakati hata vikundi mnakuwa navyo ila miongoni mwa demand kuwa ni money capital.
 
Back
Top Bottom