Yani goli liko wazi🤣🤣 ana tatizo la akili.[emoji23][emoji23][emoji23]kipa katoka maana yake nini?
Sasa ya nini nihangaike kujionesha nna akili mbele ya chizi. We jamaa bn"NITUMIE BASI PICHA ZAKO!!"
Hii ndio kauli pekee Ambayo mwanamke anajua kabisa anatongozwa na chizi!!😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Hili nali ni neno😂😂😂😂 umejuaje mkuu na wewe sio wa kike?
"NITUMIE BASI PICHA ZAKO!!"
Hii ndio kauli
Aisee"UMENIPENDEA NINI"
Hapo ujue huyo demu sio kichaa tuu bali ni taahira
DuhNi mwendo wa kutenga fungu na kuchakata mbususu tu suala la akili zake hazinihusu
Ume dunkSasa ya nini nihangaike kujionesha nna akili mbele ya chizi. We jamaa bn
Atume picha ili nikipenda product niiweke kwenye bajet, fullstop
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kipa kaacha goli kaenda kudaka panzi
Goli liko wazi[emoji23][emoji23][emoji23]kipa katoka maana yake nini?