Zainab j
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,817
- 2,362
atakuwa na akaunti fake kaweka jina na picha ya kike!๐๐๐๐ umejuaje mkuu na wewe sio wa kike?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakuwa na akaunti fake kaweka jina na picha ya kike!๐๐๐๐ umejuaje mkuu na wewe sio wa kike?
Kwa hiyo ndo umekuja kunisema humu..??Mi sipendi niwe nasafiri nakaa na mkaka a anacheza games tu kutoka Dar hadi Arusha huoni akisoma kitu cha maana. Akimaliza games anaingia kwenye ubuyu Instagram
Hili swali sijawahi kufaulu kulijibu"UMENIPENDEA NINI"
Hapo ujue huyo demu sio kichaa tuu bali ni taahira
So ukijibu tuu unaachwa?Hili swali sijawahi kufaulu kulijibu
JamaniYani goli liko wazi๐คฃ๐คฃ ana tatizo la akili.
Wewe duh"NITUMIE BASI PICHA ZAKO!!"
Hii ndio kauli pekee Ambayo mwanamke anajua kabisa anatongozwa na chizi!!๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Huwa nalijibu,nikikutana nalo huwa nashtuka kinachofuata baada ya hapo ni uwongo mwingi๐So ukijibu tuu unaachwa?
Swali rahisi sana hasa hasa hawa walokole wanaliwa mno kwa hili swali lao la kijinga๐๐๐๐๐
Nimekupenda sababu youโre smart, funny and exceptional beautiful"UMENIPENDEA NINI"
Hapo ujue huyo demu sio kichaa tuu bali ni taahira
๐๐๐๐ mwambaa๐๐Nimekupenda sababu youโre smart, funny and exceptional beautiful
utaskia linajibu โawwwโ kama mbwa... inakuwa imeisha hiyo
๐๐๐๐ mwambaa๐๐Nimekupenda sababu youโre smart, funny and exceptional beautiful
utaskia linajibu โawwwโ kama mbwa... inakuwa imeisha hiyo
"NITUMIE BASI PICHA ZAKO!!"
Hii ndio kauli pekee Ambayo mwanamke anajua kabisa anatongozwa na chizi!!๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Umeona ehhHahahaa Bujibuji weeee
Kuna muda unaweza kujuta hata kufahamiana na huyo chizi๐ ๐ ๐ ๐ ๐