atakuwa na akaunti fake kaweka jina na picha ya kike!ππππ umejuaje mkuu na wewe sio wa kike?
Kwa hiyo ndo umekuja kunisema humu..??Mi sipendi niwe nasafiri nakaa na mkaka a anacheza games tu kutoka Dar hadi Arusha huoni akisoma kitu cha maana. Akimaliza games anaingia kwenye ubuyu Instagram
Hili swali sijawahi kufaulu kulijibu"UMENIPENDEA NINI"
Hapo ujue huyo demu sio kichaa tuu bali ni taahira
So ukijibu tuu unaachwa?Hili swali sijawahi kufaulu kulijibu
JamaniYani goli liko waziπ€£π€£ ana tatizo la akili.
Wewe duh"NITUMIE BASI PICHA ZAKO!!"
Hii ndio kauli pekee Ambayo mwanamke anajua kabisa anatongozwa na chizi!!πππππππππππππππ
Huwa nalijibu,nikikutana nalo huwa nashtuka kinachofuata baada ya hapo ni uwongo mwingiπSo ukijibu tuu unaachwa?
Swali rahisi sana hasa hasa hawa walokole wanaliwa mno kwa hili swali lao la kijingaπππππ
Nimekupenda sababu youβre smart, funny and exceptional beautiful"UMENIPENDEA NINI"
Hapo ujue huyo demu sio kichaa tuu bali ni taahira
ππππ mwambaaππNimekupenda sababu youβre smart, funny and exceptional beautiful
utaskia linajibu βawwwβ kama mbwa... inakuwa imeisha hiyo
ππππ mwambaaππNimekupenda sababu youβre smart, funny and exceptional beautiful
utaskia linajibu βawwwβ kama mbwa... inakuwa imeisha hiyo
"NITUMIE BASI PICHA ZAKO!!"
Hii ndio kauli pekee Ambayo mwanamke anajua kabisa anatongozwa na chizi!!πππππππππππππππ
Umeona ehhHahahaa Bujibuji weeee
Kuna muda unaweza kujuta hata kufahamiana na huyo chiziπ π π π π