Unadhani nyingi zipo kisheria au zinakata kata corner; nyingi hazikidhi matakwa ya Huduma za Kifedha kulingana kama ni Bank, Micofiance, Saccos au Vicoba.., ila ndio hivyo loan sharks wanapata hio opportunity kutokana na desparation ya watu...
Pili benki inataka collateral na wananchi wengi sio credit worthy hivyo benki hawawezi kuwasogelea hata kidogo..., Kwahio cha muhimu ni kuhakikisha wananchi wengi wanapata ujira yaani angalau tuwe na middle income wengi ambao kipato chao kinakidhi mahitaji yao..., otherwise kesho itazidi kuwa mbaya kuliko leo
All in all usisikilize porojo za serikali madeni sio jambo jema iwe serikali au machinga kitaa....