Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
kuna mahali niliwaona wanagawa vyombo kama njugu
kigezo ni uwape namba za simu wanakupigia ikiita basi wanakukabidhi vyombo ,japo ni vya daraja la chini ila nilitazama ule utaratibu wao wa ugawaji wa vyombo ni rahisi sana kurushwa
NB: ilikua ni mkoani
kigezo ni uwape namba za simu wanakupigia ikiita basi wanakukabidhi vyombo ,japo ni vya daraja la chini ila nilitazama ule utaratibu wao wa ugawaji wa vyombo ni rahisi sana kurushwa
NB: ilikua ni mkoani