Kauziwa rice cooker Tsh. 300,000 na Waturuki, kaikuta inauzwa Tsh. 140,000 Mlimani City. Anawaza amalizie hela yao ama?

Kauziwa rice cooker Tsh. 300,000 na Waturuki, kaikuta inauzwa Tsh. 140,000 Mlimani City. Anawaza amalizie hela yao ama?

Daah simu za mkopo nilienda Duka la Airtel Samsung A53 kwa bei ya mkopo na kulipa kidogo kidogo kwa miezi 12 jamaa wanachukua 500,000!!!
Kariakoo kila mtu ana bei yake.

Bei ya. Cash inauzwa shngap?
 
Nilimshauri amshukuru kulpa miezi minne ila badoo washenzi wanapigaa aisee kha m sinunuagi kabisaa kwao.
Nilimshauri amshukuru kulpa miezi minne ila badoo washenzi wanapigaa aisee kha m sinunuagi kabisaa kwao.
Ndio wanapiga maana na wao wanahitaji pesa ya ziada na kwa dizain hiyo ndio wanajipatia chochote kitu kutunza familia zao
 
Wapumbavu hao achana nao. Watu hawana hata elimu ya uchumi basi japo wajue maana ya interest rates limits allowed by law, wajue effects za overpriced products kwenye uchumi na money inflation, wajue hata fraudulent activity kwenye biashara, hakuna wanalojua ni kubungua tu maneno wasiyojua yanawapeleka wapi.
Haya hongera kwako msomi maana mkishakuwa na videgree mnajikuta mmemaliza kila kitu na kudharau watu, mtaani hakuitaji usomi ni akili mtu wangu na fulsa tu endelea kuwa msomi
 
Jamani mji mtamu huuu acha tu, kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu.

Sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk, akambiwa laki 3 kwa mariposa ya miezi 4.

Majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza.

Jana anauliza nifanyeje bro, nkamjibu malizia kulipa alafu mwonyeshe hio picha na bei yake umshukuru kwa kukupa miezi 4, bado kidogo anitupie chupa ya Fanta hhahahaa!
Sasa na wewe si mshauriane tu na shoga wako huko? Sisi wanaume haya mambo tunayajulia wapi? Siku nyingine mzunguke wote kutafuta. Au ndo wanawake hampendani? Ukute hapo unafurahia hilo jambo. Joannah njoo umsome huyu mdada hapa
 
Jamani mji mtamu huuu acha tu, kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu.

Sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk, akambiwa laki 3 kwa mariposa ya miezi 4.

Majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza.

Jana anauliza nifanyeje bro, nkamjibu malizia kulipa alafu mwonyeshe hio picha na bei yake umshukuru kwa kukupa miezi 4, bado kidogo anitupie chupa ya Fanta hhahahaa!
Kapigwa na kitu kizima huyo na waturuki!🤭🤭🤭🤭 Lazima amalize deni!
 
Sasa na wewe si mshauriane tu na shoga wako huko? Sisi wanaume haya mambo tunayajulia wapi? Siku nyingine mzunguke wote kutafuta. Au ndo wanawake hampendani? Ukute hapo unafurahia hilo jambo. Joannah njoo umsome huyu mdada hapa
Halafu huyo mwandishi ujue ni wa Kiume.?yaani jinsi alivyoandika ni kafurahi kishenzy
 
Sasa si na riba juuu hapo yani mtu akuuzie kitu unalipa kidogo kidogo miezi 4 bado unalalamika kama ulikuwa na uhitaji ungeenda mwenyewe kuitafuta huko mlimani city kabla.
Mimi Mambo ya kukopa vyombo naona kujitia umaskini tu,,yaani vyombo vya kukopa kweli
 
Mikopo ina riba hasaa. Kuna hawa wakopesha simu simu ya lak mbili mtu analipa lak 5. Kuna sehemu kuna atm ya crdb pembeni wana kiofisi chao kila nikienda atm wananiita bro bro njoo ukope simu. Mimi jibu langu nawambia kwani nyie hamwoni nimeshika simu mkononi.
Sema wabongo si waaminifu lazima.uweke riba kubwa kulipia watakaokutapeli
Unakopeshwa kwa kuaminiwa tu au wanatumia nini ili usikimbie bila kulipa?
 
Walikuja kazini wakakopesha blander zinatwa silver crest kwa laki tatu mm nikasema hapana, nikaja zunguka madukani bei halisi ni 130000 na sasa hv zimeshuka hadi 75
 
Kapigwa na kitu kizima huyo na waturuki!🤭🤭🤭🤭 Lazima amalize deni!
Hahahahaaaaaaa kaukalia nawaza gafla kimegoma kuwaka hahaha na warrantee ipo sijui atawapigia
Kwikwi
 
wale nahisi wanaloga wakifika mitaani yaan kila wanaemgusa mwenyedukani wanabeba vitu kujakuhamaki too lte...

hivi majuzi jamaa anasema dhbwasha aliwaki nkachekaaaa nkamwambia lina gprs wamelizima nn wanasubiri fundi jtatu

kichekechooo lina warrantee jamaa wanawaza wanaanzaje kuwapigi wturuki hahahahahaha napitatu
 
Mimi Mambo ya kukopa vyombo naona kujitia umaskini tu,,yaani vyombo vya kukopa kweli
Hii nchi ina watu maskini sana wa kipato na akili
How.comes mtu anakopa vyombo ?
Dah aibu hii.
Yaani kuna vitu navisomaga huku mitandaoni mashangaa sana .
Kutoka.maisha yangu nishawahi kukopa.pesa benki na Kwenye Saccos ya ofisini basi.
Kuna jamaa namfahamu yeye anakopa bia namshangaaga sana huyo mtu
 
Back
Top Bottom