Uchaguzi 2020 Kawe: Askofu Gwajima (CCM) atakuwa Tanganyika Packers na kundi la wasomi na wasanii wote wa Dar

Uchaguzi 2020 Kawe: Askofu Gwajima (CCM) atakuwa Tanganyika Packers na kundi la wasomi na wasanii wote wa Dar

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
IMG-20200922-WA0062.jpeg

Hata mbuzi wamemkataa!
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
Hhahahhha Gwajima hawezi isimamisha kawe inamchora tu
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
Angeisimamisha kawe yeye mwenyewe bila hao wasanii ndo tungeona umwamba wake
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
yaani gear ya wasanii kwa wakazi wa Kawe? Gwajima & co watakuwa hawatujui sawasawa.

ninawahakikishia watakaojaa kuja kutazama wasanii watatokea majimbo mengine lakini siyo wa Kawe. sasa sijui watamsaidiaje huyu mgombea steringi wa movie za X!
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
Ni tamasha jingine la muziki hilo asisahau nyimbo za Rose Mhando pia.
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
Wasomi wa jalalani sio?
 
Sipati picha daladala zitavyosomba wakazi wa dar kujaza uwanja... Watu wanalamba PESA na T-shirt unazama kwenye gari uwanjani... Halafu jioni mje mtuambie nyomi linamsapport
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.
Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.
Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!
Maendeleo hayana vyama!
Wana Kawe katika Umoja wetu, tulishaamua siku nyingi kabla kuwa miaka kumi ya Halima, inatosha.
hiyo tarehe 28 ni tunakwenda kuthibitisha tuu.
Uchaguzi 2020 - Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi

P
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
Vyuo vikuu vimefungwa wanafunzi tuko mikoani punguza ushabiki maandazi.
 
Back
Top Bottom