Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Eti umesema wasanii wote watakuwepo?
Kwa hiyo ni Fiesta jama kawaida eeh!!!
Kwa hiyo ni Fiesta jama kawaida eeh!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasanii wanawaumiza rohoAngeisimamisha kawe yeye mwenyewe bila hao wasanii ndo tungeona umwamba wake
Kawe: Askofu Gwajima (CCM) atakuwa Tanganyika Packers na kundi la wasomi na wasanii wote wa Dar
Bila wasanii, mambo yanaweza yakawa hivi...Eti umesema wasanii wote watakuwepo? Kwa hiyo ni Fiesta jama kawaida eeh!!!
Mayalla unatia huruma sana [emoji3][emoji3] umebaki kua Mbuge wa JFWana Kawe katika Umoja wetu, tulishaamua siku nyingi kabla kuwa miaka kumi ya Halima, inatosha.
hiyo tarehe 28 ni tunakwenda kuthibitisha tuu.
Uchaguzi 2020 - Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi
P
hata hivyo mi5 ya magu inatosha, twende na tundu lissuWana Kawe katika Umoja wetu, tulishaamua siku nyingi kabla kuwa miaka kumi ya Halima, inatosha.
hiyo tarehe 28 ni tunakwenda kuthibitisha tuu.
Uchaguzi 2020 - Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi
P
Wana jambo lao na wasanii!Wana Kawe msidanganyike
Eti Askofu mzima anawaleta wasanii wanenguaji kwenye mkutano wake,ukishangaa ya Musa ........Angeisimamisha kawe yeye mwenyewe bila hao wasanii ndo tungeona umwamba wake
Askofu hawezi kufanya upuuzi wa kucheza porn,mnajua anamuondoa huyu msagaji ndio mnaleta uzushi.MaCCM mnatia huruma sana.
imefika hatua inabidi mkusanye watu amabao sio wapiga kura wa Kawe ili kumfariji Porn Star.
Cha msingi huyo Gwajima ajiandae kurudu kuendelea kutafuna kondoo zake.
Msanii anashangiliwa kuliko mgombea, au sio!!Wasanii wanawaumiza roho
Siwezi kuwepo hapo ,jamaa atahubiri uzinzi na uongo na ushamba wa kupeleka watu Marekani.Karibu Kawe bwashee, Pascal Mayalla atakuwepo pia kuonyesha support!
Paschal hana mvuto tenaKaribu Kawe bwashee, Pascal Mayalla atakuwepo pia kuonyesha support!
Halima Mdee 10 Yatosha!MaCCM mnatia huruma sana.
imefika hatua inabidi mkusanye watu amabao sio wapiga kura wa Kawe ili kumfariji Porn Star.
Cha msingi huyo Gwajima ajiandae kurudu kuendelea kutafuna kondoo zake.
Wasanii wote wa DarLeo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.
Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.
Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!
Maendeleo hayana vyama!