Uchaguzi 2020 Kawe: Askofu Gwajima (CCM) atakuwa Tanganyika Packers na kundi la wasomi na wasanii wote wa Dar

Uchaguzi 2020 Kawe: Askofu Gwajima (CCM) atakuwa Tanganyika Packers na kundi la wasomi na wasanii wote wa Dar

Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
Mimi kama kamanda ninayejitambua nataka mbunge wa kuleta maendeleo,sio harakati za kushinda mahakani. Namuunga mkono Gwajima.
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
Wasanii wacheza kiduku na Askofu Gwajima, wapi na wapi? Askofu kapatwa
 
Mleta huu uzi atakua kondoo wa gwajima aliyetafunwa maana anaonekana Ana mahaba nae sana
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
tunajua toka jana Bashiru alitaka uvccm vyuoni kuandamana kumuungamkono magufuli na wanapewa posho
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
Utabiri unatimia sio?
Screenshot_20200926-135624_Twitter.jpg
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
Wasanii njaa kali pia hawajitambui
 
Huyu si ndiye aliyewahi kujinasibu madhabahuni kwake kuwa kazi anayoifanya ni kubwa hawezi kulingana hata na Rais, Waziri. Leo vipi anautaka Ubunge!!!?
 
Leo ndio Halima Mdee atajua kuwa hajui.

Ni kampeni za kishindo katika viwanja vya Tanganyika packers Kawe ambazo zitatanguliwa na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote vya Dsm ya kumuunga mkono Dr Magufuli.

Halima Mdee lazima akae Dr Magufuli 5 tena!

Maendeleo hayana vyama!
Wenzako wamelipwa kuandamana , wewe unasubiri nini .
Screenshot_20200925-154514.png
 
Back
Top Bottom