Uchaguzi 2020 Kawe: Askofu Gwajima (CCM) atakuwa Tanganyika Packers na kundi la wasomi na wasanii wote wa Dar

Naomba niwape taarifa kuwa KIGOGO ndio binadamu wa kwanza kupata Taarifa yoyote nchi hii ukiacha walioshiriki tu kweny hyo taarifa.
Hii habari niliona jana amepost.
 
MaCCM mnatia huruma sana.

imefika hatua inabidi mkusanye watu amabao sio wapiga kura wa Kawe ili kumfariji Porn Star.

Cha msingi huyo Gwajima ajiandae kurudu kuendelea kutafuna kondoo zake.
 
Kazi kweli kweli. kijiwe kigumu kawe.lakini kwa miujiza ya CCM naye hata Askofu anaweza kupita.

Wakuu mtanisamehe kwa kupachika

Kwa mtindo huu wa kutongoza wafuasi wa Askofu katika mchakato wa kisiasa nchini ilimradi tu upate kura ni sawa na rushwa ya ubongo
 
Mwana kawe atakayempa kura gwajima haipendi kawe.Kawe sio ya kuongozwa na anayejiita askofu tapeli
 
Wanafunzi wa Vyuo vikuu wako likizo na wametawanyika. Hao waanaoenda kuandamana wanatokea wapi?
 
MaCCM mnatia huruma sana.

imefika hatua inabidi mkusanye watu amabao sio wapiga kura wa Kawe ili kumfariji Porn Star.

Cha msingi huyo Gwajima ajiandae kurudu kuendelea kutafuna kondoo zake.
Askofu hawezi kufanya upuuzi wa kucheza porn,mnajua anamuondoa huyu msagaji ndio mnaleta uzushi.
 
MaCCM mnatia huruma sana.

imefika hatua inabidi mkusanye watu amabao sio wapiga kura wa Kawe ili kumfariji Porn Star.

Cha msingi huyo Gwajima ajiandae kurudu kuendelea kutafuna kondoo zake.
Halima Mdee 10 Yatosha!
 
Sidhani kama watakuja kusikiliza sera za Gwajiboi....

Wasisitizieni wasanii kutoa shoo kali ili wakazi wa kawe wasiboreke.
 
Wasanii wote wa Dar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Tuje kucheza Disco?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…