Uchaguzi 2020 Kawe: Askofu Gwajima (CCM) atakuwa Tanganyika Packers na kundi la wasomi na wasanii wote wa Dar

Mimi kama kamanda ninayejitambua nataka mbunge wa kuleta maendeleo,sio harakati za kushinda mahakani. Namuunga mkono Gwajima.
 
Wasanii wacheza kiduku na Askofu Gwajima, wapi na wapi? Askofu kapatwa
 
Mleta huu uzi atakua kondoo wa gwajima aliyetafunwa maana anaonekana Ana mahaba nae sana
 
tunajua toka jana Bashiru alitaka uvccm vyuoni kuandamana kumuungamkono magufuli na wanapewa posho
 
Utabiri unatimia sio?
 
Wasanii njaa kali pia hawajitambui
 
Huyu si ndiye aliyewahi kujinasibu madhabahuni kwake kuwa kazi anayoifanya ni kubwa hawezi kulingana hata na Rais, Waziri. Leo vipi anautaka Ubunge!!!?
 
Wenzako wamelipwa kuandamana , wewe unasubiri nini .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…