mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Wacha weeeBado nusu saa tu safina ifungwe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeeBado nusu saa tu safina ifungwe!
Huo ushahidi utaupeleka wapi katika serikali hii ya ahabu?Hawakutakiwa kuzichoma moto. Sasa unachoma ushahidi.
Huyu Gwajima halafu kesho-keshokutwa akahubiri kanisani. Ujinga mtupu hawa wanaojiita watumishi wa Mungu na makanisa yao.
Hatuna muda wa kupoteza tunajua kulalamika online tu hujatozoea wabongo!Leo ndio Tar.28 eeeh?
nani kapiga kura hapa?
Wapiga View attachment 1614745 Endeleeni kulala
Msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji anazidi kuchinjwa
Muulize pono boySadaka zinaibwaje mkuu. Sadaka unapewa😂😂😂
Ungekuwa na akili ungemuonaFala kweli wewe, sasa hapo Umemuona Mbunge mtarajiwa Gwajima, kwenye huo upuuzi wenu
Nimemnanga wapi? Wewe nawe una maneno ambayo sijayasemahuyo ni mwanamke mwenzio anapambania haki yake
wewe uko mahali umekalisha msambwanda unamnanga
Kwahiyo hicho nilichoandika hapo nimemnanga? Wewe utakua na tatizo binafsiPambana Halimaaa
Tayari tuko barabarani ndiyo maana tushakamata kura feki au hujaona?Tangulia barabarani mkuu upate dawa chungu.
Hata kabla ya kura mlikuwa hamkubali tutawabeba hivyo hivyo misukule nyinyi.Ni dhahiri sasa hakuna kukubali Matokeo
Dalili kwa kura atoki huyuHili shetani linataka kurudi kwenye magogo yetu likaendelee kunywa damu za watu
Sadaka wanampelekea wenyeweeMuulize pono boy
Afu wakashtaki kwa nani sasa😁 ikiwa chama chenye utawala ndo kimeiba na ndo unataka kiendeshe kesiHawakutakiwa kuzichoma moto. Sasa unachoma ushahidi.
We ni tairaWaongo tu hao kwenye kituo zitaingiaje.Halima huna chako ujaribu kuhadaa wananchi
Sikiliza kwenye clip wanasema waliyemkuta na hizo kura za JPM na Gwajboy kakimbia.Wamezitoa wapi? Kwa nan? mbona habari haijakamilika mkuu.
Mpigie Sugu akusukugue kwani mwenyekiti wenu alisema MaCCM mnataka kumpa Sugu kazi ya Kuwasugua.Sijui leo nipoje yaani tangu nimeamka naskia kale kawimbo ka Zuchu maskioni...
Watu kwa maigizo hawajambo.Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawa
View attachment 1614622
View attachment 1614758
Video pia ni ushahidi toshaHawakutakiwa kuzichoma moto. Sasa unachoma ushahidi.
Sikiliza kwenye clip wanasema waliyemkuta na hizo kura za JPM na Gwajboy kakimbia.
Mpigie Sugu akusukugue kwani mwenyekiti wenu alisema MaCCM mnataka kumpa Sugu kazi ya Kuwasugua.
Laana ikujilie mwenyewe. Ninaifuta mara 100.Ulaaniwe wewe na ukoo wako wote, kama uyasemayo hapa ni uongo. Imekuwa