mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sasa ukimuona mtuhumiwa itakusaidia nini?.
Hayo ni makaratasi ya NEC.
Unataka kusema yameibwa?.
Huo ni mpango
Hayo ni makaratasi ya NEC.
Unataka kusema yameibwa?.
Huo ni mpango
Ingekuwa bora mngetuonesha aliyekamatwa nazo lakini si kutuonyesha kwamba zimekamatwa wakati mtuhumiwa hayupo ndio nini sasa,labda mumeamua kupotosha umma ili ieleweke kuwa ni kweli kumbe usanii ,sasa nimeanza kuona umuhimu wa kuzima mitandao maana haya wanaoona hawafiki hata 1000