mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Sadaka zinaibwaje mkuu. Sadaka unapewa😂😂😂Ukizoea kuiba sadaka utashindwa vipi kuiba kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sadaka zinaibwaje mkuu. Sadaka unapewa😂😂😂Ukizoea kuiba sadaka utashindwa vipi kuiba kura
Wapiga View attachment 1614745 Endeleeni kulala
Msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji anazidi kuchinjwa
Hahahhaa Dah Naangaliaa hii Habari Nimeamini Upinzani haustahili hata dakika moja kuchukua hii nchii. Huu ni upumbavu izi karatasi unaweza zidublicate kwa maelf na ukafanyia maonyesho kama hayaHalima alizoea ujanja ujanja safari hii umepatikana. Wewe tengeneza habari kwa mabeberu wako, lakini jimbo hupati.
Ujinga tu huu. Sijaona hata tiki moja kwenye makaratasi hayo zaidi ya makelele tuNi dhahiri sasa hakuna kukubali Matokeo
Mnaliwazana tu kwa ujinga wenu, mnakomalia ushahidi huo wakati kuna ushahidi mpaka wa video, magamba nyie ni wajinga kweli.Ushahidi kuchomwa moto bila vyombo vingine kushuhudia ni utata mwingine
Tukusema hizo kura waliandaa chadema, halafu wakazikamata chadema wenyewe ili kuchafua zoezi la uchaguzi, kisha wakazichoma moto ili kupoteza ushahidi tutakua sawa zaidi
Maendeleo hayana vyama
Cc Mariki boy Pendael24 Bia yetu cocochanel 1954 Wakudadavuwa NAWATAFUNA Da'Vinci
Wanatia sana aibu
Hahaha angalia wapiga kura wanavyomshangaa, wanaona huyu katoka wapi hata haeleweki.Wapiga View attachment 1614745 Endeleeni kulala
Msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji anazidi kuchinjwa
Ona ulivyo na kichwa cha panzi, hivi wewe upate ushahidi utakaoweza kukusaidia halafu uuchome moto?? Acheni kutuletea drama za Faru JohnBangi na hela kila siku zinakamatwa, ni lini umeziona zikipelekwa mahakamani zaidi ya polisi kujinufaisha nazo?
Kwa nini huwezi kuona attachment?Umeweka attachment..weka video mimi sioni
Nonsense,hizo kura kwanini zisihesabiwe ili zijulikane zilikuwa ngapi,kituo kipi kura hizo zilikamatwa?, hao wanaochoma ni mawakala, wasimamizi,au wapiga kura?Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Undugu ni wa toka enzi ila jamaa wanaharibu kabisa taswiraNasikitika umewaita ni 'ndugu' zako, hasara na laana kama hiyo mimi siwezi.
Mnaigiza au mnaiba kweli?Visingizio na maigizo ruksa
Kamera yenyewe haioneshi kama kuna tiki zimewekwa kwenye karatasi. Zaidi ni makelele yenye lafudhi kutoka kanda ile. Nimechemka subirini kichapo halaliUtachomeje ushahidi. Nauliza tu
Unaambiwa ni za seminaWananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawa
View attachment 1614622
View attachment 1614758
Hakuna mwenye uthubutu wa kuingia kwenye mtaa wowote2020 - 2025 nchi haitawaliki, vyombo vya dola wanatakiwa wawe makini au lasivyo nchi inaharibika ndani ya muda mfupi sana.
Hatua inayofuata ni wananchi kuingia mtaani, kama mambo haya yataendelea.
Wananchi wa Kawe watazaa na huyo mcheza filamu za X wanaolazimishwa kupewa na CCM.
Wee Ni muumini wake majizi makubwaWaongo tu hao kwenye kituo zitaingiaje.Halima huna chako ujaribu kuhadaa wananchi
Mlikuwa mnadanganyana mtashinda kihalali nyie wapuuzi, ndio maana mka print hizo papers jamana halafu mlivyokosa akili mkajidai watu wanaruhusiwa kurudia kupiga wakikosea, kumbe zile zinazobaki mnazirudia wenyewe wapumbavu mnawapigia kura kina tapeli gwajima, hii aibu haifichiki popote bora muiname tu.Kama unajadiliana na kiazi Bila Shaka huna kitu kichwani.wazushi wakubwa nyie.yaani mnaandaa kura fake na kuzichoma Moto ili iwe Nini?
Ona ulivyo na kichwa cha panzi, hivi wewe upate ushahidi utakaoweza kukusaidia halafu uuchome moto?? Acheni kutuletea drama za Faru John