Hata kama wewe umeshinda?Ni dhahiri sasa hakuna kukubali Matokeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama wewe umeshinda?Ni dhahiri sasa hakuna kukubali Matokeo
Tumieni japo akili kidogo ndugu zangu.Utajua baadae kidogo
KumbeeeChadema walitengeneza papers za ziada, mawakala wa Ccm wakawastikia
Una upofu huwezi kuona!!Umeweka attachment..weka video mimi sioni
Haitowezekana katika Mazingira hayaHata kama wewe umeshinda?
Poor youHalima alizoea ujanja ujanja safari hii umepatikana. Wewe tengeneza habari kwa mabeberu wako, lakini jimbo hupati.
Ukizoea kuiba sadaka utashindwa vipi kuiba kurakweli kajua kuwafurahisha Mabeberu
Propaganda za kitoto,jimbo linarudi Ccm. Watanzania sio watoto uwadanganye kitoto hivi.Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawaView attachment 1614622
Hawana akili kabisa, eti wanachoma moto? Umeona wapi mtu akateketeza ushahidi?Kama unajadiliana na kiazi Bila Shaka huna kitu kuchwani...wazushi wakubwa nyie...yaani mnaandaa kura fake na kuzichoma Moto ili iwe Nini?
Kama unajadiliana na kiazi Bila Shaka huna kitu kuchwani...wazushi wakubwa nyie...yaani mnaandaa kura fake na kuzichoma Moto ili iwe Nini?
Hakuna anayeongelea sheria ya uchaguzi baada ya uchaguzi. Si CCM si Chadema. We ushawasikia wapi?Imagine, Kama kituo kimoja iko hivo Vipi maeneo mengine nchi nzima. Mfumo wa uchaguzi umepitwa na wakati. Yaani mazingira ya kupiga kura bado Yanatoa mwanya Sana wizi kufanyika
Mtapika data sana, nenda kwenye vituo vya kupigia kura, hiyo idadi mliyopika ya 29m+ inawaumbua. Kuna wapiga kura wachache kupita maelezo. Watu wamepuuza huo utoto uitwao uchaguzi.
Kosa kubwa Sana wamefanyaUtachomeje ushahidi. Nauliza tu
Fala kweli wewe, sasa hapo Umemuona Mbunge mtarajiwa Gwajima, kwenye huo upuuzi wenuUkizoea kuiba sadaka utashindwa vipi kuiba kura
Tumieni japo akili kidogo ndugu zangu.
Jinga wewe. Narudia, kakojoe ulale. Hanithi wa fikra.Wazushi wakubwa nyie...mwambie hivyo baba yako mzazi na pia mama yako aliyekuzaa...mwambie baba nenda kakojoe ulale halafu nenda kwa mama yako aliyekuzaa mwambie mama kakojoe ulale
Wanatia sana aibuWaipate wapi hiyo akili kidogo!
Hawana akili kabisa, eti wanachoma moto? Umeona wapi mtu akateketeza ushahidi?
Wajitekenya halafu wanacheka wenyewePropaganda za kitoto,jimbo linarudi Ccm. Watanzania sio watoto uwadanganye kitoto hivi.