Kwa kweli Halima dada yangu namshauri kwenye hili la ubunge apumzike tuu
Ni kweli kabisa kwa sasa habari ya mjini ni pinga pinga na msema hovyo Tindu Lisu kufundishwa adabu na watu wa ChatoWanawake weupe ndiyo Kipenzi cha Magufuli. Hata mkewe (Magufuli) atampigia kura Tundu Lissu.
Kwa sasa, habari ya mjini ni Tundu Lissu.
Kwa miaka mitano kila siku unaongea wewe..matokeo yake kipindi kama hiki unajikuta unakosa jambo jipya la kueleza na kubaki kurudia rudia yaleyale....kuchuja huku ni kwa kujitakia mwenyewe.Jua linachomoza, madimbwi yamekauka kwa Upendo wa Mungu na watu kwa maelfu wanaelekea viwanja vya Kawe Tanganyika packers kumsindikiza kipenzi cha watanzania Dr Magufuli.
Karibuni nyote.
Rip Mwalimu Nyerere
Up dates;
Mkuu umeona hako katoto hapo pembeni kanavyomshangaa huyo mwamba?Kule mabwepande hawataki hata kulisikia jina la Halima!
Mama D naona magwiji yanaendelea kupiga goti mbele ya kitotoYohanne tupo pamoja sana
Leo tunaliamsha dudeeeee
Ungemshauri mkweo mkwanza, halima anakuhusu nn??
Gwajima ana ulaanifu uyu, kawatafuna sana kondoo wake uyu gwajima, apo hakuogopa kamsaliti mkewe sembuse kuwasaliti nyie wana-kawe.
Gwajima kahahidi kuigeuza misikiti yetu mitukufu ya uko kawe kuwa sunday school, waislam tunalijua hilo na tuna jambo letu tatehe 28.10.
Twende na halima mdee msemaji wetu mahiri uko bungeni.
Hiyo ni kweli, costa zipo za kutosha na safari zinaanzia kwe office za CCM mtaa. 5000 ni pesa ya halali kabisa kwa vitega uchumi walivyo navyo hawa wanachamaKuna Coaster niliikuta Bunju imebeba wana CCM tupu ndani, huku kila mmoja akipewa 5000 kuwa ni nauli ya kurudi toka kwa "Mheshimiwa".
Ataiba kwa lazimaHuyu kura hapewi
mnajisumbua huyo mchungaji mzinzi mla kondoo hawezi kushinda ,abaki kanisani tu kula kondoo wake,zamu hii CCM mmetia aibu kutuletea mchungaji malayaTunaanzia safari kwenye office za CCM mtaa, Kila mtaa una coasta za kutosha watu wake tayari na magari binafsi pia.
Sema wewe uko mtaa gani nikupitie
johnthebaptist wakaribishe wanaotaka kujiunga CCM leo
Ccm wanatoa wapi pesa yote hiiHiyo ni kweli, costa zipo za kutosha na safari zinaanzia kwe office za CCM mtaa. 5000 ni pesa ya halali kabisa kwa vitega uchumi walivyo navyo hawa wanachama
Kupiga magoti ni desturi za watu na haziangalii umri wala jinsia mkuuMama D naona magwiji yanaendelea kupiga goti mbele ya kitoto
View attachment 1599498
mtakatifu wana vitega uchumi vya kutosha kama chama na wanakusanya mapato kila mwezi hawaCcm wanatoa wapi pesa yote hii
Send-off ya magu hebu Soma waraka wa USA.Mkuu leo ni send off ya Halima Mdee!
Kama ni mtumbuizaji atakuwa Harmonize akiwekewa lile nyimbo la UNOmnajisumbua huyo mchungaji mzinzi mla kondoo hawezi kushinda ,abaki kanisani tu kula kondoo wake,zamu hii CCM mmetia aibu kutuletea mchungaji malaya
Kura yako kwa Tundu Lissu. Tundu Lissu ni nuru ya Watanzania wote bila kujali rangi zao, kabila au dini zao.Ni kweli kabisa kwa sasa habari ya mjini ni pinga pinga na msema hovyo Tindu Lisu kufundishwa adabu na watu wa Chato
Naantombe MushiMungu fungulia koki na leo pande hizo ili aabike huyo anayejifananisha na mwalimu