Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho shamba keshokutwa garage[emoji3][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Gari la mkaa nimetoka gereji?
Wako wapi? Mataahira wenzie?Ila Magufuli anapendwa na watu jamani jamani.
Sio kwa upendo huu.
Hivi wanaompinga anavyosimamia mema ya wananchi wake.Hata hawajishtukii😀
Siku ya Nyerere imenajisiwa vibaya Dar. Magufuli anatembea na chombo cha umma-TBC kama Mwanamke mweupe mchepuko wake bila aibu. Anatumia mav8 ya Serikali yaliyobandikwa stika za kijani, analipa wasanii kutoka hazina. Yote haya yanafanyika siku ya Nyerere tena mbele kidogo ya Ikulu. Huyu Jiwe kweli anamuenzi Nyerere?!Jua linachomoza, madimbwi yamekauka kwa Upendo wa Mungu na watu kwa maelfu wanaelekea viwanja vya Kawe Tanganyika packers kumsindikiza kipenzi cha watanzania Dr Magufuli
Karibuni nyote.
Rip Mwalimu Nyerere
Up dates;
Katupita hapa Basihaya muda huu anaelekea Pwani. Naona anafanya mkutano kila Kata huku KaweKesho shamba keshokutwa garage[emoji3][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Acha aendelee tu maana mlikosa adabu baada ya kuwa mnafisadi nchi,Hana sera ana ajenda ya kuendelea kuitawala nchi kidikteta.
UpoMagufuli baba laoooo
Mkuu watu wanamuelewa magufuli!, ni kikundi kichache tu ambacho hakifiki hata asilimia 10 ya watanzania ndio hawamuelewi!..Ila Magufuli anapendwa na watu jamani jamani.
Sio kwa upendo huu.
Hivi wanaompinga anavyosimamia mema ya wananchi wake.Hata hawajishtukii[emoji3]
Vijana wasio na ajira ni wangapi? Hao tu hawana sababu ya kumshabikia Magufuli sababu hajawasaidia lolote miaka hii 5 zaidi aliwadanganya kuhusu ajira million 2.Mkuu watu wanamuelewa magufuli!, ni kikundi kichache tu ambacho hakifiki hata asilimia 10 ya watanzania ndio hawamuelewi!..
Hayo masuala ya connection ndio ubaguzi, yeye haombi kuwa Rais wa chama, anaomba kuwa Rais wa Nchi, kukomesha mambo kama haya ni bora tu tuwe na majimbo na kila jimbo lijiendeshse kutokana na vyanzo vyake vya mapato.Meko anataka connection ya nini? Kule Kasulu si kuna connection na watu wanakunywa matope? Mkutano si ulikuwa Tanganyika Packers au huko kumedoda?