Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
!
!
Jamaa Kilaza Sana Yaani
1. Uhuru Ni Mchakato Wa Muda Mrefu. Unajumuisha Harakati Zote Kuanzia Kina Kimweri, Mkwawa, Majimaji Na Kadhalika. Kusema Kwamba Hakuna Aliyemwaga Damu Kupigania Uhuru Wa Tanganyika Ni Ukilaza Wa Hali Ya Juu.
2. Kwamba Ni Lazima Aombwe! Yeye Kama Nani? Mbona Hakukataza TRA Kuchukua Kodi Maeneo Hayo? Kilaza Sana Yani.
3. Chadema Wako Hapo Kwa Miaka 15 Tu. Kuanzia 1961 Waliingoza Masisiem Enheee Niaje Hapo? Kilaza Sana
!
Jamaa Kilaza Sana Yaani
1. Uhuru Ni Mchakato Wa Muda Mrefu. Unajumuisha Harakati Zote Kuanzia Kina Kimweri, Mkwawa, Majimaji Na Kadhalika. Kusema Kwamba Hakuna Aliyemwaga Damu Kupigania Uhuru Wa Tanganyika Ni Ukilaza Wa Hali Ya Juu.
2. Kwamba Ni Lazima Aombwe! Yeye Kama Nani? Mbona Hakukataza TRA Kuchukua Kodi Maeneo Hayo? Kilaza Sana Yani.
3. Chadema Wako Hapo Kwa Miaka 15 Tu. Kuanzia 1961 Waliingoza Masisiem Enheee Niaje Hapo? Kilaza Sana