Uchaguzi 2020 Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

Uchaguzi 2020 Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

Naona idadi ya watia nia ni kubwa kuliko wapiga kura..kweli bunge la ndungai lilikua jepesi sana yaani mpaka machizi wanaona kua bungeni ni sawa na kua darasa la 3 mnajipigia makelele mtakavyo.
Usisahau watia nia nao ni wapiga kura vile vile... hivyo hawawezi kuwazidi wapiga kura waliotia nia pamoja na wasiotia nia kwa idadi
 
Hilo Jimbo kupata mshindi ni ngumu wataoenda KUPIGA Kula za maoni ni hao hao 176 wana kawe CCM hatuendi watagawana kura moja moja hao
Nahisi kuna mamluki, yaani kuna wamepewa ya kwenda kuchukua form na baadhi ya wagombea ili ikifika wakati kura za kupitisha mgombea mamluki wanampigia kura mhusika aliyewalipia fedha za kuchukua form. Kwa hiyo kuna uwezekano kabisa baadhi ya wagombea katika kura za maoni wanaweza wasipate hata kura moja kwa sababu watakuwa wametumika kumjazia kura mtu aliyewalipia kuzaja form.
 
Huu ndio upuuzi huwa sitaki kabisa kusikia. Eti mtu anagombea ubunge kwa sababu ya kumkubali Rais? Uongo wa kijinga kabisa!
Rais ni kiongozi wa mhimili mwingine uitwao serikali, unagombea ubunge ambao upo ndani ya muhimili ambao kazi yake ni kuikemea serikali na kuisimamia itimize wajibu wake vizuri. Mahusiano ya kufanya mtu ahamasike kugombea yako wapi?
Au ni kutokujua wajibu wa mbunge ni nini? Nakumbuka niliwahi msikia Mbunge Sugu akisema hata Rais akitokea Chadema, tutamtwanga bungeni na pia katika vikao vya chama atatwangwa ili nchi ifuate sheria, katiba na kanuni zake. Huo ndio ubunge.
Sasa hizo takataka za eti "nagombea kuunga mkono juhudi" kama sio umbumbumbu ni nini?
Anatuhadaa tu mwamba Mbowe anakipeleka chama mrama lakini hawatwangwi popote pale. Sembuse awe Rais. Hata kuhoji matumizi ya fedha za chama wanahofu.
 
Kuna mtu akiitwa Furaha Toka Kanda ya ziwa anajinasibu eye katumwa na mkuu wa kaya kugombea.

Tungependa tuipate list hapa JF ili tuanze kuiangazia dunia kuwa inavyotaka.

Sarakasi zitapelekea Halima mdee kupita kwa ushindi ndogo waache wanganganie.
 
Sio Kawe tu, sehemu nyingi watu wamegundua CCM imesafishwa na JPM, hakuna longolongo. Mimi sina chama ila natamani kujiunga na CCM
 
Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.

Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...

Naomba nisimalizie...

CCM Oye!

Paskali
Kawe yaweza ikawa ni mojawapo ya majimbo makubwa kwa hapo Dsm na pia ni jimbo wanapoishi 60% ya viongozi wa Serikali mashirika ya umma mabalozi nk ni jimbo nyeti zaidi na kuna uwezekano wa Gwajima kupitishwa kwa kuwa ni Msukuma na kama yupo Msukuma mwingine kwenye hao watia nia 175 basi huyo ndiye atakuwa kwenye top 3 zitazokwenda Dodoma kwenye mchujo wa fainali
 
Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.

Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...

Naomba nisimalizie...

CCM Oye!

Paskali
Dr Mashinji atawafaa CCM kwa vile ana mbinu za kumkabiri Halima Mdee
 
Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.

Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...

Naomba nisimalizie...

CCM Oye!

Paskali

Kuna jamaa mmoja karudishwa/deported kutoka Atlanta, GA USA mwaka jana. Ni mvuta bangi na mlevi sana sasa ni mmoj wa wagombea watia nia Kawe.!!!!
 
Wanabodi,

Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!.

My Take.
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.

Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...

Naomba nisimalizie...

CCM Oye!

Paskali


P,

Unagombea wapi?
 
P.
Nakusikitia mno kwa jinsi ulivyoipambania ccm hapa jf still poti hajakuona na kukupa japo udas! Au lile swali ulilomuuliza lilimuimiza Sana? Na au kitendo Cha spika kumuita alimpa majibu ya mahojiano yako?
[emoji23][emoji23][emoji23] kwann alimuuliza mh swali kama lile hawezi onja keki ya taifa kwa awamu hii
 
Anatuhadaa tu mwamba Mbowe anakipeleka chama mrama lakini hawatwangwi popote pale. Sembuse awe Rais. Hata kuhoji matumizi ya fedha za chama wanahofu.
Wahoji nini wakati report ya CAG ime certify hesabu ziko clear?
Na mfumo wa chama sio kama huo wa serikali T1.5 zinapigwa kwa amri ya MTU na mpwae huku mwenyekiti hasaini popote
 
Back
Top Bottom