Kayumba Nyamwasa: Rwanda imekuwa ikiiba madini ya Congo kwa muda mrefu sana

Kayumba Nyamwasa: Rwanda imekuwa ikiiba madini ya Congo kwa muda mrefu sana

Kagame katika mahojiano na CNN kasema kuna Migodi ya Coltan Nchini Rwanda na kama mwandishi wa CNN yuko tayari waende akamuonyeshe sasa huyu Kayumba labda ana chuki binafsi na Kagame.

Kweni Coltan iko Congo pekee au Zahabu ziko Kongo pekee...?
Hivi wewe na Kayumba anayejua mambo ya Siri ya Kagame ni nani!?

Nyie ndo Watutsi mliojificha Tanzania hapa kwa mission maalumu.
 
Wacongo wana Tatizo sehemu, sio Bure....!
Ndo maana Mobutu aliwatawala kwa mkono wa Chuma......!
 
Msisahau ukubwa wa Rwanda ni mala 90 ya Congo.

Yaani Rwanda inaingia mala 90 kuipata DRC.
 
Back
Top Bottom