Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,977
- 6,635
Hivi wewe na Kayumba anayejua mambo ya Siri ya Kagame ni nani!?Kagame katika mahojiano na CNN kasema kuna Migodi ya Coltan Nchini Rwanda na kama mwandishi wa CNN yuko tayari waende akamuonyeshe sasa huyu Kayumba labda ana chuki binafsi na Kagame.
Kweni Coltan iko Congo pekee au Zahabu ziko Kongo pekee...?
Nyie ndo Watutsi mliojificha Tanzania hapa kwa mission maalumu.