Kazakhstan, nchi yenye waislam wengi yapiga marufuku hijab mashuleni

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438


Kazakhstan, nchi ambayo 70% ya raia wake ni waislam, imepiga marufuku hijab mashuleni kwa walimu na wanafunzi nchini humo.

Raia Tokayev wa nchi hiyo alinukuliwa akisema ''Kazakhstan ni nchi isiyo na dini. Shule ni mahali pa kusoma na sio ku practice mambo ya dini. Tuache watoto wasome, watajiamulia mambo yao wenyewe watakapokuwa wakubwa.''

Inaripotiwa kuwa karibu wasichana 150 wameacha shule katika Jimbo moja nchini humo kutokana na katazo hilo.

DW
 
Tatizo sio nchi. Quran inasemaje? Hata Vatican imeruhusu ushoga. Jee wakiristo waunge mkono?
 
Huko Asia ya kati wameona ni upumbavu kuabudu utamaduni wa kiarabu wakati wana utamaduni wao.

Hayo mambo ya kipumbavu ya kuabudu tamaduni za kigeni tuachiwe sisi waafrika ndio watu wasiojitambua ambao hadi majina ya kigeni tunaamini ni sehemu ya ibada. Waafrika bure kabisa.
 
Hujui unaochongea. Itakuwa shoga wewe
 
Ngoja wale wanaompigania Allah akina Iran walete Jihad huko.
 
Elimu dunia... elimu, elimu, elimu!
Hii ndiyo kitu inakosekana kwa waafrika.

Ila wana watoto warembo. Return ticket kwenda huko ni bei ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…