Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Hatujadili ubora wa elimu na wala mavazi hayahusiani na elimu, hao wanaovaa hijabu wanaa uniform hizo hizo za kawaida. Hauoni fahari kubuni mavazi yetu wenyewe kama hayo magunia kuliko kuvaa mitumba kutoka kwa wazungu?Kwani hijabu imeleta kitugani bora kwenye elimu yetu.tofauti na uniform za kawaida ?
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app