Uchaguzi 2020 Kazi imeanzaWagombea ubunge wa upinzani morogoro mjini wakatwa

Uchaguzi 2020 Kazi imeanzaWagombea ubunge wa upinzani morogoro mjini wakatwa

MNYWABUJU

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2018
Posts
260
Reaction score
327
Msimamizi wa uchaguzi morogoro mjini sheila lukuba amewakata wagombea ubunge wa vyama vya upinzan kutokana na makosa mbalimbali katika fomu zao,hivo mgombea pekee abdulaziz abood wa ccm amepita bila kupingwa
 
ndio mana kulikuw ana kesi na wanaharakjati walishinda kuw ahawa wakurugenzi ni MAKADA WA MBOGAMBOGA,
KIKOWAPI LEO? HAKUNA WANACHOFANYA ZAII YA KUMPENDEZESHA ALIYEWATEUA.
 
Msimamizi was uchaguzi morogoro mjini sheila lukuba amewakata wagombea ubunge was vyama vya upinzan kutikana na makosa mbalimbali katika fomu zao,hivo mgombea pekee wa abdulaziz abood wa ccm amepita bila kupingwa
Haya mambo ya kupita bila kupingwa JK aliyafuta!
 
Msimamizi was uchaguzi morogoro mjini sheila lukuba amewakata wagombea ubunge was vyama vya upinzan kutikana na makosa mbalimbali katika fomu zao,hivo mgombea pekee wa abdulaziz abood wa ccm amepita bila kupingwa
Kwa Nini walisubiri last minute kupeleleka Fomu ? Mimi CCM lakini wajilaumu wenyewe wangewahi wangesahihisha makosa
 
inabidi dawa ya jiwe itafutwe... kila akienda kanisani ni kuibuka na mabango.. mule huwezi pigwa
 
Si umeona hata mchakato wa kutoa za urais kwa CHADEMA unavyocheleweshwa....
 
Kwa Nini walisubiri last minute kupeleleka Fomu ? Mimi CCM lakini wajilaumu wenyewe wangewahi wangesahihisha makosa
kichwa chako ndani kipo hivi
IMG_20200822_093254.jpg
 
Tumekuwa wapole/ waoga sana watanzania ndio maan mtu mmoja anaweza kuimiliki nchi yote hii.
 
Back
Top Bottom