Kazi inaendela, Bil 208 kujenga shule mpya. Nia thabiti ni kukidhi mahitaji ya watanzania sekta ya elimu

Kazi inaendela, Bil 208 kujenga shule mpya. Nia thabiti ni kukidhi mahitaji ya watanzania sekta ya elimu

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
20230709_005645.jpg
 
Bandari zirejeshwe, maana hata hayo majengo yakijengwa Elimu inayotolewa na huyo mwalimu aliyeelemewa na madeni ni mbovu mno
 
Bandari zirejeshwe, maana hata hayo majengo yakijengwa Elimu inayotolewa na huyo mwalimu aliyeelemewa na madeni ni mbovu mno
Mwakani Mwalimu mmoja anakaa Dar au Dodoma, mambo kwa screen tu. Shule zitabaki na Walimu wa kuwafanyisha wanafunzi revisions tu.

Walimu wachache sana watahitajika kila shule.
 
Ujenzi wa hizi Shule kwa sasa hauzingatii mipango miji. Mkoani Geita. Shule moja imejengwa haina hata uwanja wa Watoto kucheza . Eneo ni dogo sana.
 
Mbona sio ""Serikali yatoa..........." na badala yake siku hizi ni "Samia atoa........"
Au bunge la ccm limeshapitisha mswada wa jina la Mama litumike badala ya Serikali?
 
Back
Top Bottom