Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matapeli gani?Ogopa matapeli.
Hao wauza bandari.Matapeli gani?
Hao wauza bandari.
nani kama mama?
Mwakani Mwalimu mmoja anakaa Dar au Dodoma, mambo kwa screen tu. Shule zitabaki na Walimu wa kuwafanyisha wanafunzi revisions tu.Bandari zirejeshwe, maana hata hayo majengo yakijengwa Elimu inayotolewa na huyo mwalimu aliyeelemewa na madeni ni mbovu mno
Mwakani?Mwakani Mwalimu mmoja anakaa Dar au Dodoma, mambo kwa screen tu. Shule zitabaki na Walimu wa kuwafanyisha wanafunzi revisions tu.
Walimu wachache sana watahitajika kila shule.
Ajuza umeamka?Mwakani Mwalimu mmoja anakaa Dar au Dodoma, mambo kwa screen tu. Shule zitabaki na Walimu wa kuwafanyisha wanafunzi revisions tu.
Walimu wachache sana watahitajika kila shule.
Matepeli, kila siku shule...... shule. wanajifanya wanipenda Tanganyika kumbe Wezi wakubwa wabobezi wasio na aibu wala woga mawakala wa kuzimu, walevi wa pesa.Hili ni ombilangu kwako eehh Mungu, TUTENDEE JAMBO JIPYA..🙏
Mbona hao walipita hawakujenga watoto wanakaa chini?Miaka 60 ya Uhuru bado Kuna wapumbavu wanashangilia ujenzi wa vyumba vya madarasa?, Kweli Tz tuna wajinga..
Nimelala.Ajuza umeamka?