Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Nadhani utatumika zaidi Kwa ajili ya viongozi ila abiria Dodoma sidhani kama wengi kutokana na kijiografia Iko katikati ya nchi pia na uanzishwaji wa SGR kutoka Dar na Dom itachukua muda mfupi sanaNilifikiri wameuhamishia ule wa Chato Dodoma.
Nadhani utatumika zaidi Kwa ajili ya viongozi ila abiria Dodoma sidhani kama wengi kutokana na kijiografia Iko katikati ya nchi pia na uanzishwaji wa SGR kutoka Dar na Dom itachukua muda mfupi sana