Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunamshukuru Samia kwa hisani hii ya kujitolea kutujengea daraja.Daraja hili linakwenda kukamilika mwaka huu na kufanya usafiri katika ukanda huo kuwa Bora kabisa.
Hakuna mradi utaachwa, na miradi mipya itazidi kujengwa.
#SHH2025/30
#MamaMaendeleo.
View attachment 2189448
Mbeya tazara inawatoshaHAYA YATEKELEZWE
1. Bwawa la Nyerere
2. Barabara ya njia 4 mbeya mjini
3. Reli mwendo kasi iungwe kutokea moro kwenda mbeya (huko ndio tutakuwa tumeua ndege wawili,huko kuna abiria wa ndani pia Malawi,Zambia na DRC.
4. Soko la kariakoo liongezewe ufanisi. (Yaani bidhaa ziwe nyingi,kodi ya wanaolilisha soko toka nje kodi ipunguzwe, ili nchi za Zambia,Malawi,Msumbiji,waje kwa wingi
Utadhani katoa pesa akeUnatumia nguvu nyingi mno,,,😂😂😂
Katiba inayoleta kikwazo cha limit ya miaka 10 kwa Rais Mzalendo anaejituma haifai …kwa kuwa Rais anapigiwa kura kila baada ya miaka mitano tukimchoka tutampiga chini kwny kura sio kutunyima haki na fursa ya kuongozwa nae
kina Profesa Rwekaza Mukandala kwny Kamati yao warekebishe hiki kifungo
Samia for life
Rais anapigiwa kura na nani?!
Tunaomba picha za JNHD...kule rufiji tuone nako kunaendeleaje.Daraja hili linakwenda kukamilika mwaka huu na kufanya usafiri katika ukanda huo kuwa Bora kabisa.
Hakuna mradi utaachwa, na miradi mipya itazidi kujengwa.
#SHH2025/30
#MamaMaendeleo.
View attachment 2189448
Ndio Yale malengo ya kesi mchongo ehhh
Kajitoleaje?Tunamshukuru Samia kwa hisani hii ya kujitolea kutujengea daraja.