Kazi inapoendelea kila Rais anapohutubia Makamu na Waziri Mkuu nao wapo. Imekaaje hii?

Kazi inapoendelea kila Rais anapohutubia Makamu na Waziri Mkuu nao wapo. Imekaaje hii?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mabibi na mabwana awamu hii ina maajabu yake. Imekuwa kila Mama Samia anapokuwa anahutubia hapa nchini, basi waheshimiwa: Mpango, Majaliwa na vigogo wa juu nao never miss.

Haiyumkiniki vigogo hawa walipenda pia kuwapo Kampala na Nairobi.

Hiiiiii bagosha!

Wajameni, hizi gharama za kuwasafirisha hawa vigogo wote tokea walipokuwa kwenda kwenye hizi hafla zinakuwa je? Kwani nao wakikaa kwenye runinga au radio kama kina sisi haitoshi?

Wajameni si mmpe mama nafasi afanye vitu vyake?

Hii kufuatana fuatana hii si inaweza kuwa na athari nyingi tu zikiwamo za kiusalama, kuoneana aibu kwenye kutumbuana mubashara nk?

Wamekuwa kama kumbi kumbi. Bibi mbele bwana nyuma!

Au nasema urongo ndugu zangu?
 
Umeandika ujinga mtupu. Ulitaka wawepo akina nani?

Mataga mngetosha sana kuwapo hasa angalau kujifariji kuwa bado mngalipo.

Pia uwepo wa Bashiri na Chakubanga - ingependeza zaidi. - Dr. Shika.

Inaeleweka mmepoteana kiasi gani tokea Machi ile.
 
Sioni tatizo mbona hata wakati wa mwendazake viongozi wakuu walikuwa wanahudhuria?

Mwendazake kasema mara nyingi tokea Chatto na mabarabarani na hata akila mahindi mabichi - solo.

Enzi za mwendazake na hata watangulizi haikuwa hivi.
 
Hao wote wanapokuwa ukumbini haimaanishi kuwa wasaidizi wao wanakuwa hawaendelei kufanya kazi.

Hao ni viongozi wa taasisi hivyo kila kitu kinaendelea kwa kufuata taratibu za kisheria muda wowote ule.
 
Mataga mngetosha sana kuwapo hasa angalau kujifariji kuwa bado mngalipo.

Pia uwepo wa Bashiri na Chakubanga - ingependeza zaidi. - Dr. Shika.

Inaeleweka mmepoteana kiasi gani tokea Machi ile.
Wewe ni mjinga, HAKUNA jina zuri zaidi ya Hilo kwako
 
Wewe jamaa unatumia nguvu sana kuwa sarcastic, sio kipaji chako achana na hiyo wajameni, bhagosha nk
Kuhusu andiko lako hueleweki wataka nini huku wataka taratibu zifuatwe hapohapo wataka watu waendelee kutumbuliwa. manung'uniko yako ndani ya dna yako wewe
 
kipindi cha mwenda zake hapo ungewaona, CDF, IGP, Mkuu wa magereza, Kamishna wa uhamiaji, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu

Awamu hii kama kumbi kumbi. Huenda stability na upepo unaelekea wapi bado haijawa wazi.

Yawezekana ripoti za CAG BOT na TPA bado zinaacha hofu na mashaka si kwa akina dotto walipa mahela peke yao.
 
Mwendazake kasema mara nyingi tokea Chatto na mabarabarani na hata akila mahindi mabichi - solo.

Enzi za mwendazake na hata watangulizi haikuwa hivi.
Wewe utakua unaota wewe. Alipo magufuli mpaka spika na jaji mkuu walikuwa hawakosi wewe kichwa chako hakina kumbukumbu .
 
Mabibi na mabwana awamu hii ina maajabu yake. Imekuwa kila Mama Samia anapokuwa anahutubia hapa nchini, basi waheshimiwa: Mpango, Majaliwa na vigogo wa juu nao never miss.

Haiyumkiniki vigogo hawa walipenda pia kuwapo Kampala na Nairobi.

Hiiiiii bagosha!

Wajameni, hizi gharama za kuwasafirisha hawa vigogo wote tokea walipokuwa kwenda kwenye hizi hafla zinakuwa je? Kwani nao wakikaa kwenye runinga au radio kama kina sisi haitoshi?

Wajameni si mmpe mama nafasi afanye vitu vyake?

Hii kufuatana fuatana hii si inaweza kuwa na athari nyingi tu zikiwamo za kiusalama, kuoneana aibu kwenye kutumbuana mubashara nk?

Wamekuwa kama kumbi kumbi. Bibi mbele bwana nyuma!

Au nasema urongo ndugu zangu?
Kwanini unawataja waziri mkuu na makamu wa rais bila kusema chochote cha kumkosoa moja kwa moja aliyewaalika?

Siku hizi CDM mnajifanya kumpigia debe rais aliyeko madarakani baada ya kugundua ni sehemu salama ya kujifichia (siku shamba la miwa likichomwa moto ndio mwisho wa wanyama nyemelezi wakianza kutimua mbio bila mafanikio, mko kwenye mtego wa panya vizuri sana
 
Wewe jamaa unatumia nguvu sana kuwa sarcastic, sio kipaji chako achana na hiyo wajameni, bhagosha nk
Kuhusu andiko lako hueleweki wataka nini huku wataka taratibu zifuatwe hapohapo wataka watu waendelee kutumbuliwa. manung'uniko yako ndani ya dna yako wewe

Nisiache kukwambia situmii nguvu yoyote kwenye bandiko hili wala lolote kama unavyotumia wewe kutaka kujilazimisha hivyo.

Ninao uhuru wangu wa kutumia maneno yoyote kwa starehe zangu. Hiyo ni sehemu ya uhuru wangu kama unavyoainishwa katika JF.

Bandiko langu ni observations zangu ambazo haziwezi kufungamana na za mtu yeyote na hasa zako.

Kama ambavyo labda umeshindwa kuelewa bandiko langu nami nimeshindwa kuelewa lako. Yaani ngoma droo!

Hadi hapo kwani unasema je? Au niendelee kukukosoa kwa kuwa na uelewa mfinyu mno?
 
Wewe utakua unaota wewe. Alipo magufuli mpaka spika na jaji mkuu walikuwa hawakosi wewe kichwa chako hakina kumbukumbu .

Rejea walipoarifiwa wengine kubakia na mavi yao nyumbani.

Ni wazi kuwa kumbukumbu zako hazina kumbukumbu.
 
Nisiache kukwambia situmii nguvu yoyote kwenye bandiko hili wala lolote kama inayotutia wewe nguvu nyingi kutaka kujilazimisha hivyo.

Ninao uhuru wangu wa kutumia maneno yoyote kwa starehe zangu. Hiyo ni sehemu ya uhuru wangu kama unavyoainishwa katika JF.

Bandiko langu ni observations zangu ambazo haziwezi kufungamana na za mtu yeyote na hasa zako.

Kama ambavyo labda umeshindwa kuelewa bandiko langu nami nimeshindwa kuelewa lako. Yaani ngoma droo!

Hadi hapo kwani unasema je? Au niendelee kukukosoa kwa kuwa na uelewa mfinyu?
Endelea kuwa mchekeshaji wa mfalme ni fani uliyoichagua
 
Back
Top Bottom