Kazi inapoendelea kila Rais anapohutubia Makamu na Waziri Mkuu nao wapo. Imekaaje hii?

Kazi inapoendelea kila Rais anapohutubia Makamu na Waziri Mkuu nao wapo. Imekaaje hii?

Tulia wewe hii nchi ilichezewa sana, acha kazi iendelee

Wenye masikio wamesikia wakiwamo wote walioambatana naye. Kumbe ndiyo maana walialikwa wote.

Rasmi sasa nyungu na yale mauza uza yote na gonjwa hili kwenda maji.

Tahadhari husika sasa kazini.
 
Hao wote wanapokuwa ukumbini haimaanishi kuwa wasaidizi wao wanakuwa hawaendelei kufanya kazi.

Hao ni viongozi wa taasisi hivyo kila kitu kinaendelea kwa kufuata taratibu za kisheria muda wowote ule.

..mtoa mada ana hoja.

..lakini suala analolipinga limekuwepo kwa muda mrefu itakuwa ni vigumu kuachana nalo.

..kuna mambo mengi ya itifaki tunatakiwa tuachane nayo, na hili analoongelea mtoa mada ni mojawapo.

..kwa mfano, kuna utaratibu wa utitiri wa viongozi kuwepo uwanja wa ndege kumuaga na kumpokea Raisi anapokwenda na kutoka safari. Nadhani utamaduni huo unaweza kurekebishwa, na shughuli hiyo ikafanywa na watu wachache zaidi.

..hata hili la Raisi kuhutubia akiwa Dsm, sikuona ulazima wa VP na PM kuwepo hapo. Nadhani suala hili lingeshughulikiwa kama ziara ya Raisi mikoani ambapo huwa na mawaziri wachache na mkuu wa mkoa husika.

..Zaidi, hivi kulikuwa na ulazima wa kuwakusanya hao wazee na kuzungumza nao kwa niaba ya wazee wa nchi nzima? Kwanini Raisi asihutubie taifa zima kupitia LUNINGA?
 
Wenye masikio wamesikia wakiwamo wote walioambatana naye. Kumbe ndiyo maana walialikwa wote.

Rasmi sasa nyungu na yale mauza uza yote na gonjwa hili kwenda maji.

Tahadhari husika sasa kazini.
Hakika kazi inaendelea
20210507_183202.jpg
 
Hao wote wanapokuwa ukumbini haimaanishi kuwa wasaidizi wao wanakuwa hawaendelei kufanya kazi.

Hao ni viongozi wa taasisi hivyo kila kitu kinaendelea kwa kufuata taratibu za kisheria muda wowote ule.

Ni wazi kuwa kumbe mama alikuwa amewaalika vigogo wale kwenye mkutano wa leo. Bila shaka akitaka wamsikie na pia kumsoma:

1. Sasa hivi Corona tunatoka kivingine. Hakuna cha nyungu, bupeji, vita vya kiuchumi wala wajomba zake. Ya awamu ya tano yamezikwa.

2. Sasa hivi nchi tunajenga wote. Teuzi sasa hazina hati miliki ya CCM tena - kwa maana nyingine mama anaongelea maridhiano kwa vitendo.

Kwa agenda mbili hizi kwa hakika mama aliwahitaji wah. Gwajima, Majaliwa na Mpango kwenye podium. Wausikie na kuufahamu msimamo mpya.

Agenda mbili hizi ni nyuzi 180 kutokea awamu ile.

Mama ni Mpango wa Mungu.
 
..mtoa mada ana hoja.

..lakini suala analolipinga limekuwepo kwa muda mrefu itakuwa ni vigumu kuachana nalo.

..kuna mambo mengi ya itifaki tunatakiwa tuachane nayo, na hili analoongelea mtoa mada ni mojawapo.

..kwa mfano, kuna utaratibu wa utitiri wa viongozi kuwepo uwanja wa ndege kumuaga na kumpokea Raisi anapokwenda na kutoka safari. Nadhani utamaduni huo unaweza kurekebishwa, na shughuli hiyo ikafanywa na watu wachache zaidi.

..hata hili la Raisi kuhutubia akiwa Dsm, sikuona ulazima wa VP na PM kuwepo hapo. Nadhani suala hili lingeshughulikiwa kama ziara ya Raisi mikoani ambapo huwa na mawaziri wachache na mkuu wa mkoa husika.

..Zaidi, hivi kulikuwa na ulazima wa kuwakusanya hao wazee na kuzungumza nao kwa niaba ya wazee wa nchi nzima? Kwanini Raisi asihutubie taifa zima kupitia LUNINGA?

Mkuu umedadavua vyema sana. Uzuri JF ni uhuru wake. Raha yake hukamilika inapopatikana nafasi ya kuwasikiliza wote.

Kila mtu yu na uelewa wake. Waliona mbali sana aliyetambua ugumu wa nyani kuona kundule.

Mama katamka wazi - kumbe aliwaalika wah. Gwajima, Mpango na Majaliwa. Katika maelezo yake kulikuwa na hoja mbili muhimu sana:

1. Corona - sasa hatua stahiki kuchukuliwa
2. Maridhiano - mama anataka maridhiano.

Kwa wale waumini kindaki ndaki wa awamu ile, hao si wa kusikia hayo kwenye bomba peke yake. Kumbuka Chalamila aliposikia rais kafariki alidhani kafa yeye.

Bongo zipo kuwaza, kuwazua kuhoji na kudadavua. Hivyo ndiyo vyakula vya bongo za waungwana. Si kila mtu.

Kutokuelewa hoja ni jambo la kawaida wala hakumfanyi mtu kwa kutokuelewa kwake eti kuwa ndiyo mwerevu zaidi.
 
Mabibi na mabwana awamu hii ina maajabu yake. Imekuwa kila Mama Samia anapokuwa anahutubia hapa nchini, basi waheshimiwa: Mpango, Majaliwa na vigogo wa juu nao never miss.

Haiyumkiniki vigogo hawa walipenda pia kuwapo Kampala na Nairobi.

Hiiiiii bagosha!

Wajameni, hizi gharama za kuwasafirisha hawa vigogo wote tokea walipokuwa kwenda kwenye hizi hafla zinakuwa je? Kwani nao wakikaa kwenye runinga au radio kama kina sisi haitoshi?

Wajameni si mmpe mama nafasi afanye vitu vyake?

Hii kufuatana fuatana hii si inaweza kuwa na athari nyingi tu zikiwamo za kiusalama, kuoneana aibu kwenye kutumbuana mubashara nk?

Wamekuwa kama kumbi kumbi. Bibi mbele bwana nyuma!

Au nasema urongo ndugu zangu?
Usijali akitoa Hotuba ijayo utakaa wewe pembeni yake
 
Huyo ni wale walioamini kuwa Mbowe angekuwa waziri mkuu nchi hii. Sasa mambo yamegeuka jamaa anakuja na uzi usioeleweka hapa jamvini

Muumini msukule taslimu wa mwendazake utakuwa sasa umeelewa kwa nini mama aliwahitaji waungwana hawa pale.

Usijisikie vibaya lakini - elimu haina mwisho.
 
..mtoa mada ana hoja.

..lakini suala analolipinga limekuwepo kwa muda mrefu itakuwa ni vigumu kuachana nalo.

..kuna mambo mengi ya itifaki tunatakiwa tuachane nayo, na hili analoongelea mtoa mada ni mojawapo.

..kwa mfano, kuna utaratibu wa utitiri wa viongozi kuwepo uwanja wa ndege kumuaga na kumpokea Raisi anapokwenda na kutoka safari. Nadhani utamaduni huo unaweza kurekebishwa, na shughuli hiyo ikafanywa na watu wachache zaidi.

..hata hili la Raisi kuhutubia akiwa Dsm, sikuona ulazima wa VP na PM kuwepo hapo. Nadhani suala hili lingeshughulikiwa kama ziara ya Raisi mikoani ambapo huwa na mawaziri wachache na mkuu wa mkoa husika.

..Zaidi, hivi kulikuwa na ulazima wa kuwakusanya hao wazee na kuzungumza nao kwa niaba ya wazee wa nchi nzima? Kwanini Raisi asihutubie taifa zima kupitia LUNINGA?
Kuhutubia taifa kupitia wazee ni utaratibu ameurithi kutoka kwa watano waliomtangulia.

Viongozi kujazana sehemu moja ni Mila za kijamaa ambazo tumezirithi kutoka kwa wajamaa. Mamlaka makubwa yanalimbikizwa kwa ofisi moja na wanaobaki wanaanza kufanya kazi ngumu ya kumfurahisha bosi wao.

Tuendako tutabadilika.
 
Wasukuma orodhesheni madukuduku yenu yote mama ayafanyie kazi, maana nyinyi ni yatima kwa hakika

Mkuu mama katufurahisha sana. Wasukuma wapya tumeyapenda sana haya:

1. Sasa tuna msimamo mpya kuhusiana na Corona. Nyungu na juice juice zikiwamo za Madagascar na NIMRI kwishney.

2. Maendeleo hayana chama na hii nchi ni yetu sote si ya wasukuma wale wala kanda ile wala ya chama kile.

Kuyaingiza hayo vichwani mwa misukule ya mwendazake na misukuma ya siku hizo inahitaji mama kugongelea na nyundo.

Kwenye list ya wasukuma sisi wa leo, bado tunasubiria na zile ripoti za CAG - itapendeza zaidi vigogo hawa waendelee kualikwa.
 
Usijali akitoa Hotuba ijayo utakaa wewe pembeni yake

Kama next ni ripoti ya CAG kuhusiana na TPA na BOT, wawakilishi wa yale magenge yenu pendwa kuwapo pale, itapendeza zaidi. - Dr. Shika.
 
Mkuu mama katufurahisha sana. Wasukuma wapya tumeyapenda sana haya:

1. Sasa tuna msimamo mpya kuhusiana na Corona. Nyungu na juice juice zikiwamo za Madagascar na NIMRI kwishney.

2. Maendeleo hayana chama na hii nchi ni yetu sote si ya wasukuma wale wala kanda ile wala ya chama kile.

Kuyaingiza hayo vichwani mwa misukule ya mwendazake na misukuma ya siku hizo inahitaji mama kugongelea na nyundo.

Kwenye list ya wasukuma sisi wa leo, bado tunasubiria na zile ripoti za CAG - itapendeza zaidi vigogo hawa waendelee kualikwa.
Kweli mama kaongea point leo
 
Kweli mama kaongea point leo

Haiyumkiniki ndiyo maana aliwataka kabisa wale wakuu wenye ile misukule yenyewe ili aipe habari yao live bila chenga!

Kwa hakika ilibidi iwepo pale. Message imetumwa na imekuwa delivered.

Si unaona misukule ilivyonuna sasa hivi?

Kazi kweri kweri!

Mama yuko vizuri. Huyu ni mpango wa Mungu.
 
Back
Top Bottom