Kwanini unawataja waziri mkuu na makamu wa rais bila kusema chochote cha kumkosoa moja kwa moja aliyewaalika?
Siku hizi CDM mnajifanya kumpigia debe rais aliyeko madarakani baada ya kugundua ni sehemu salama ya kujifichia (siku shamba la miwa likichomwa moto ndio mwisho wa wanyama nyemelezi wakianza kutimua mbio bila mafanikio, mko kwenye mtego wa panya vizuri sana
Endelea kuwa mchekeshaji wa mfalme ni fani uliyoichagua
Mataga ni nini? Unaamanisha kutaga mayai, halafu iweje? Ebo!!Umesoma CDM wapi katika bandiko langu?
Sisomi umataga kwenye bandiko lako:
Kabla sijautumia nikuulize kwanza wewe ni mataga?
Hatimaye umemaliza "eda" mjane wa mwendazake!!Kwahiyo unapinga tena?
Si mama ni tofauti na mwenda zake?
Inawezekena ktk baadhi ya matukio kuna issues ambazo waziri mkuu anahusika sana ktk kuzitolea ufafanuzi kwa nafasi yake,
Haina maana kwamba presdent anaweza kutoa ufafanuzi kwa mambo yote kwa wakati mmoja, hivyo anahitaji pengine kuandamana na top officials japo si ktk matukio yote.
Suala la usalama nadhani wao wanajua zaidi wanajipangaje kuliko hata sisi ambao hata mgambo hatujapita.
Mataga ni nini? Unaamanisha kutaga mayai, halafu iweje? Ebo!!
Ndo kitu nachojaribu kusema hapa, kwamba president anahotuba yake, pm nae ananafasi yake na atazungumza vitu tofauti kabisa ambavyo navyo ni muhimu kwa taifa, japo nimesema si Mara zote.Hotuba ni one way communication. Nani anafafanua nini kwenye hotuba ya mheshimiwa Rais?
Acha tuone nani anafafanua nini.
Ndo kitu nachojaribu kusema hapa, kwamba president anahotuba yake, pm nae ananafasi yake na atazungumza vitu tofauti kabisa ambavyo navyo ni muhimu kwa taifa, japo nimesema si Mara zote.
Huyo ni wale walioamini kuwa Mbowe angekuwa waziri mkuu nchi hii. Sasa mambo yamegeuka jamaa anakuja na uzi usioeleweka hapa jamviniUmeandika ujinga mtupu. Ulitaka wawepo akina nani?
Huyo ni wale walioamini kuwa Mbowe angekuwa waziri mkuu nchi hii. Sasa mambo yamegeuka jamaa anakuja na uzi usioeleweka hapa jamvini
Wasukuma orodhesheni madukuduku yenu yote mama ayafanyie kazi, maana nyinyi ni yatima kwa hakikaMabibi na mabwana awamu hii ina maajabu yake. Imekuwa kila Mama Samia anapokuwa anahutubia hapa nchini, basi waheshimiwa: Mpango, Majaliwa na vigogo wa juu nao never miss.
Haiyumkiniki vigogo hawa walipenda pia kuwapo Kampala na Nairobi.
Hiiiiii bagosha!
Wajameni, hizi gharama za kuwasafirisha hawa vigogo wote tokea walipokuwa kwenda kwenye hizi hafla zinakuwa je? Kwani nao wakikaa kwenye runinga au radio kama kina sisi haitoshi?
Wajameni si mmpe mama nafasi afanye vitu vyake?
Hii kufuatana fuatana hii si inaweza kuwa na athari nyingi tu zikiwamo za kiusalama, kuoneana aibu kwenye kutumbuana mubashara nk?
Wamekuwa kama kumbi kumbi. Bibi mbele bwana nyuma!
Au nasema urongo ndugu zangu?
Uyo ni msukule wa marehemu magufuli, mbowe Hana mazuzu Kama uyo, mwenzenu uyoHuyo ni wale walioamini kuwa Mbowe angekuwa waziri mkuu nchi hii. Sasa mambo yamegeuka jamaa anakuja na uzi usioeleweka hapa jamvini
Hata usingekuwa umeandika ulichoandika, it would have made no difference.
Kiingereza tena? Ushakasirika weweHata usingekuwa umeandika ulichoandika, it would have made no difference.
Kiingereza tena? Ushakasirika wewe
Hahahaha πππUyo ni msukule wa marehemu magufuli, mbowe Hana mazuzu Kama uyo, mwenzenu uyo
Tulia wewe hii nchi ilichezewa sana, acha kazi iendeleeMabibi na mabwana awamu hii ina maajabu yake. Imekuwa kila Mama Samia anapokuwa anahutubia hapa nchini, basi waheshimiwa: Mpango, Majaliwa na vigogo wa juu nao never miss.
Haiyumkiniki vigogo hawa walipenda pia kuwapo Kampala na Nairobi.
Hiiiiii bagosha!
Wajameni, hizi gharama za kuwasafirisha hawa vigogo wote tokea walipokuwa kwenda kwenye hizi hafla zinakuwa je? Kwani nao wakikaa kwenye runinga au radio kama kina sisi haitoshi?
Wajameni si mmpe mama nafasi afanye vitu vyake?
Hii kufuatana fuatana hii si inaweza kuwa na athari nyingi tu zikiwamo za kiusalama, kuoneana aibu kwenye kutumbuana mubashara nk?
Wamekuwa kama kumbi kumbi. Bibi mbele bwana nyuma!
Au nasema urongo ndugu zangu?
Uyo ni msukule wa marehemu magufuli, mbowe Hana mazuzu Kama uyo, mwenzenu uyo
Inaonekana hao hawana kazi za kufanya,Hata mi nlishaliona hilo. Sijui kwanini inakuwa hiv