The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Nina m kadhaa tuuWewe una b ngapi? Kuwa mkweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina m kadhaa tuuWewe una b ngapi? Kuwa mkweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmmh, siku nikiwa na cash??Watu wana husda utakuja kujua siku ukiwa na cash
Hafanyi biashara hicho ni kipaji. Nadhani Taikon alitakiwa kuwa specific kwa upande wa biashara. Magendo,biashara hsramuvja vitu vya namna hiyo ni kweli utajiri ni njenje ila na polisi ni njenje. Kwasisi tuliozaliwa mazingira ya msgendo hizi mambo tunazielewa.Msuva ana bilioni moja na kaipata hapa hapa Africa. Haya hilo wasemaje?
UmeelewekaHafanyi biashara hicho ni kipaji. Nadhani Taikon alitakiwa kuwa specific kwa upande wa biashara. Magendo,biashara hsramuvja vitu vya namna hiyo ni kweli utajiri ni njenje ila na polisi ni njenje. Kwasisi tuliozaliwa mazingira ya msgendo hizi mambo tunazielewa.
Kwema Wakuu!
Ikiwa kazi unayoifanya haijawahi kukuletea Polisi, au haijawahi kukupeleka kwenye vyombo vya kisheria ujue hiyo kazi haiwezi kukufanya kuwa Tajiri.
Utajiri na uvunjifu wa sheria ni pande mbili za sarafu moja.
Huwezi kuwa tajiri bila kuivunja sheria ya nchi, mahali popote Katika hii dunia.
Kazi yoyote yenye hatari za kukamatwa na Polisi kazi hiyo ujue inauwezo wa kukufanya uwe tajiri.
Kadiri unavyozidi kupata pesa ndivyo unavyoukaribia Mdomo wa Jela, hivyo ndio maana ni lazima ufanye Kolabo na Wakubwa ili kuyavunja Meno ya Jela ili hata siku ukiingiamo ndani yake jela haiwezi kukusaga saga.
Hiyo ni kanuni ya Kidunia.
Kanuni ya Afrika, pesa unaweza ukapata pasipo hata kutumia Uchawi au uganga Ila Inategemea na kiwango cha Pesa.
Milioni 5 sijui 10M mpaka milioni 100M hizo unaweza ukazipata Kwa nguvu zako mwenyewe hata pasipo kujiingiza kwenye Uchawi. Wala hata serikali isiwe na time na wewe.
Lakini kuna pesa ili uishike na kuilinda basi itakupasa Ujiingize kwenye Uchawi na uganga huko.
Ngumu Sana na nadra Sana mtu amiliki milioni Mia tano tuu bila ndumba hiyo ni ngumu Sana.
Najua kuna watu watanibishia, lakini huo ndio ukweli.
Kisheria na kihaki hakuna Logic ya mtu kuwa Tajiri wa mabilioni ya pesa pasipo kuvunja sheria tena Kwa makusudi kabisa, hakuna kitu Kama hicho.
Taikon leo amecheka baada ya kukutana na Bilionea mmoja huku Kahama, bilionea huyu nilimuuliza ni Kwa nini yeye ni Tajiri akanijibu; "Kwa sababu siogopi kuvunja sheria" Nikabaki namkodolea macho tu!
Nipumzike sasa!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Kahama
Hakuna ulipovunja sheria mkuu ??Hapo kwenye uchawi naweza nisikubaliane na wewe, binafsi Nina zaidi ya hizo 500m lakini sijawahi kumjua mganga.
Sheria nimevunja sanaHakuna ulipovunja sheria mkuu ??
Uchawi hapana,
Nimeshikilia hapo kwenye kuvunja sheria tu [emoji110][emoji110]
Umesahau kuwa walipelekana kwenye vyombo vya sheria?Msuva ana bilioni moja na kaipata hapa hapa Africa. Haya hilo wasemaje?