Kazi isiyoangaliana na mlango wa Jela haiwezi kukufanya kuwa Tajiri

Msuva ana bilioni moja na kaipata hapa hapa Africa. Haya hilo wasemaje?
Hafanyi biashara hicho ni kipaji. Nadhani Taikon alitakiwa kuwa specific kwa upande wa biashara. Magendo,biashara hsramuvja vitu vya namna hiyo ni kweli utajiri ni njenje ila na polisi ni njenje. Kwasisi tuliozaliwa mazingira ya msgendo hizi mambo tunazielewa.
 
Umeeleweka
 


Hii fasihi yako kwangu mimi naiona haina mashiko kwasababu wingi au uchache wa pesa unapimwa na hisia na mazingira ya mtu husika ndani ya wakati fulani, mfano kuna mtu kulingana na hisia na mazingira yake kwa wakati huo ukimpa sh 10,000/= atakushukuru mno lakini hiyo hiyo pesa ukimpa mtu mwingine ni sawa kama umempa sh 500/= nk, hivyo hapo utaona pesa kwa mtu inategemea hisia, Mazingira na wakati, mfano wa wingi wa pesa kwa mtu ni sawa law of relativity katika physics.

--unasema Kwamba kuna njia mbili za kumuwezesha mtu kumiliki viwango tofauti vya pesa!!!--- mtu anaweza kumiliki pesa kiwango chochote katika njia hizo zote mbili sema tu kuna njia za haraka ya kupata pesa na zina hatari zake na kuna njia ngumu ya kupata pesa na nidhamu/masharti (disciplines/conditions) yake, mfano wa njia ya haraka ni kama utapeli, ujambazi wa kuvamia benki nk, njia hizi unapata pesa kwa haraka lakini ni njia ya hatari sana. Njia ngumu ni kama kufanya biashara nyingi zenye faida kidogo kidogo huku ukizingatia nidhamu ya matumizi ya mapato nk, point yangu ni hii; Uchache au wingi wa pesa ni hisia katika mazingira ndani wakati fulani ambamo mtu anapata au kumiliki pesa na upatikanaji wa viwango vya pesa havina kanuni maalumu mfano kwenda kwa waganga nk.
 
Uchawi hapana,

Nimeshikilia hapo kwenye kuvunja sheria tu [emoji110][emoji110]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…