winchester
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 247
- 250
Ofisi mpya inahitaji vijana wawili, mmoja kwa ajili ya kusimamia duka la viatu (wakike) na mwingine ni kwa ajili ya mauzo ya insurance.
Ofisi ipo kinondoni vijana, Dar es salaam, mwombaji awe jirani na maeneo hayo awe na uwezo wa kuuza, kutumia computer kidogo na awe anajua tumia mitandao ya kijamii.
Malipa ni mshahara na commission, ambaye yupo tayari anicheki 0754200363
Ofisi ipo kinondoni vijana, Dar es salaam, mwombaji awe jirani na maeneo hayo awe na uwezo wa kuuza, kutumia computer kidogo na awe anajua tumia mitandao ya kijamii.
Malipa ni mshahara na commission, ambaye yupo tayari anicheki 0754200363