Thas trabo
Senior Member
- Mar 5, 2021
- 130
- 239
Pole sana mkuu, pia umenifanya ni gundue leo kua wewe ndo mwanaume wa kwanza ulie tuma nauli na ikaliwa[emoji26]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majina tu huenda yamefanana
alafu> HalafuNikitafakali X
nikitafakari ✓
Ngarenalo X
Ngarenaro ✓
Sasa bwana mdogo ni hivi we tafuta pesa alafu usiwe na shobo na mademu , Yan kuwa mtu peace, mstaarabu, fata mambo yako , kuwa hardcore mstaarabu na usiwe sharobaro alaf usiwe mtu wa shoboshobo uone jinsi watakavyo jileta wenyewe had utakua wengine unawakataa.
Lakin ukiwa mtu wa shoboshobo utajikuta kila siku hufanikiwi unamalizia hela kwenye kunufaisha malaya.
Poa halafu usichanganye herufi kubwa na ndogo kati kati ya sentensi.alafu> Halafu
yan>yaani
had>hadi
Asante kwa ushauri lakini sahivi Mimi dingi mkuu
Mtoto alikuwa yuko vizuri sana! Sijui hata kama unanielewa!
Hakika mkuu, nilikuja kuambiwa baadae alichanganyikiwa akawa kichaa anazagaa stendi Dodoma,Mzee ila bora hukumuoa maana angekufanyia vitimbi hadi ushangae...
Hakika mkuu, nilikuja kuambiwa baadae alichanganyikiwa akawa kichaa anazagaa stendi Dodoma,
Nikajakwenda kujionea laivu! Story yake nitaijazia!
Lakini ilibidi nitafte waganga wakamtibia akapona!
Hamna mapenzi siyo vita!Mwamba inaonekana bado unampenda, pamoja na madhila yote ulipambana kumtafutia tiba hongera sana mzee. Hebu tupe muendelezo najua lazima uliendelea piga mzigo.
Siemens A35 simu yangu ya kwanza kumiliki mwaka 2000 nadhani,laini nilinunua elfu kumi ya Vodacom kipindi hiko,Siemens haikuwa na camera mkuu!
Ni ngedere au?Nyatulu sio watu.
Kabisakuwa makini na mwanamke unayekutana naye akiwa na shida au akiwa na raha sana.
Kizuri kula na nduguzoHadithi hii inatufundisha nini?
NA mi nimegundua ndo mwanaume wa kwanza kuhonga simuPole sana mkuu, pia umenifanya ni gundue leo kua wewe ndo mwanaume wa kwanza ulie tuma nauli na ikaliwa[emoji26]