Uganga ndio kazi pekee ambayo unaweza kulipwa bila mteja kuona matokeo,
mtaji wake ni maneno mengi na lugha zisizoelewa, ilizi zakufumafuma tu na ndani unaweka chochote kile hata mavi ya kuku, kaniki nyeusi na nyekundu, sanda kadhaa, vibuyu kadhaa kamba na kibuyu kimoja unakipa jina almaarufu kibuna.
mkwara siku ya kwanza target mmeshampimia akija mganga hafanyi kazi leo amepandisha majini makali hata kuona mtu kabisa, hapo unajifanya unakunywa damu ya paka na maiti ya paka mweusi iko pembeni, umazungusha kama wiki hivi, siku akija anakukuta mtulivu mpole unasikiliza shida zake zoote, halafu unashitaki kwa mzimu kibuna hapo bob chura kashafanya spying ya kutosha tushatumia na hela kadhaa dah mwamba kibuna anatema cheche balaa, target hapo anapigwa hela ys mahitaji afanyiwe kazi yake ikiwepo kucha za maiti wa siku 7 kidole cha mwisho, kipande cha mkia wa fisi, nk hapo mnakula kama 500K next move sasa alizima achojoke kadhaa at the end anakuwa chuma ulete.......hahahaha