kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Hata serikali ya keny iliamini kama unavyo amini wewe na huo ujuha wako lakini alifika mahali akakamwa, vifaru sibkwa ajili ya kuwapugia raia wanao dai haki zao nyie vilazaJaribu hata ww na familia yako uone Moto
Kwa hiyo huyu jamaa jina lake ni Moto Jumanne Moto...Unamsikiaga murilo jumane murilo?
Mlilo ni Moto Kwa kiha na makabila kibao
Utapata blood pressure bure kwa kuwaza Mambo ambayo hayapo, jaribu ww na familia yako uoneHata serikali ya keny iliamini kama unavyo amini wewe na huo ujuha wako lakini alifika mahali akakamwa, vifaru sibkwa ajili ya kuwapugia raia wanao dai haki zao nyie vilaza
Tatizo siyo maandamano maana yapo kikatiba shida ni vurugu kwenye maandamano! Usiwaze kumzuia mtu kuandamana ila mkataze/mshauri kutofanya vurugu!Utapata blood pressure bure kwa kuwaza Mambo ambayo hayapo, jaribu ww na familia yako uone
Mkuu 'Desprospero', niseme tu katika kuunga mkono hoja zako kwenye mada uliyoweka hapa; hicho kipande nilicho kinyanyua hapo, ni kuwa kidogo wao Kenya ni nafuu kidogo kuliko sisi.Hakuna wanachokidai kisichokuwepo Tanzania. Kwa hakika waliotakiwa kuandamana kwa wingi wao ni vijana wa Tanzania. Laiti kama wangetumia wingi wao wa kwenye Simba na Yanga kudai haki yao inayoporwa na mafisadi hakika tungekuwa na mabadiliko chanya na ya haraka.
CCM NI 👉💩Maandamano yanayoendelea kumshinikiza Rais William Ruto kuondoka ofisini yana tija kubwa kwa Kenya na fundisho kwa Serikali ya CCM kuelekea 2025.
Wanachokiandamia ni kukithiri kwa ufisadi na maisha ya anasa ya viongozi wao hasa wanasiasa.
Vijana hao wakiwa katika lindi la umasikini lakini viongozi wao wakiogolea kwenye fedha zao sawa na yule kigogo wa TRA aliyekutwa bilioni 7 nyumbani kwake.
Hakuna wanachokidai kisichokuwepo Tanzania. Kwa hakika waliotakiwa kuandamana kwa wingi wao ni vijana wa Tanzania. Laiti kama wangetumia wingi wao wa kwenye Simba na Yanga kudai haki yao inayoporwa na mafisadi hakika tungekuwa na mabadiliko chanya na ya haraka.
Ifike mahali sasa tuanze kuwachochea vijana hawa kuondoa woga kudai haki zao na kupambana na ufisadi na mafisadi. Tuwaambie wajifunze Kenya ambako naamini hali ikiendelea hivi sitoshangaa Rais Ruto akiomba hifadhi Magogoni.
Laiti nyumbu wangejua wao ni wengi kuliko simba mmoja kamwe wasingemuogopa Simba na badala yake wangemkabili, kumshambulia na kumtimua asimdhuru hata nyumbu mmoja.
Maandamano si mmeruhusiwa juz tu hapa na Rais wetu Dr SAMIA, kwani yalikuwepo kabla? Msitumie Uhuru vibayaTatizo siyo maandamano maana yapo kikatiba shida ni vurugu kwenye maandamano! Usiwaze kumzuia mtu kuandamana ila mkataze/mshauri kutofanya vurugu!
Baada ya miaka 10-15 huko Kenya itakuwa kama Ulaya kwa ustawi wa maendeleo na jamii.Maandamano yanayoendelea kumshinikiza Rais William Ruto kuondoka ofisini yana tija kubwa kwa Kenya na fundisho kwa Serikali ya CCM kuelekea 2025.
Wanachokiandamia ni kukithiri kwa ufisadi na maisha ya anasa ya viongozi wao hasa wanasiasa.
Vijana hao wakiwa katika lindi la umasikini lakini viongozi wao wakiogolea kwenye fedha zao sawa na yule kigogo wa TRA aliyekutwa bilioni 7 nyumbani kwake.
Hakuna wanachokidai kisichokuwepo Tanzania. Kwa hakika waliotakiwa kuandamana kwa wingi wao ni vijana wa Tanzania. Laiti kama wangetumia wingi wao wa kwenye Simba na Yanga kudai haki yao inayoporwa na mafisadi hakika tungekuwa na mabadiliko chanya na ya haraka.
Ifike mahali sasa tuanze kuwachochea vijana hawa kuondoa woga kudai haki zao na kupambana na ufisadi na mafisadi. Tuwaambie wajifunze Kenya ambako naamini hali ikiendelea hivi sitoshangaa Rais Ruto akiomba hifadhi Magogoni.
Laiti nyumbu wangejua wao ni wengi kuliko simba mmoja kamwe wasingemuogopa Simba na badala yake wangemkabili, kumshambulia na kumtimua asimdhuru hata nyumbu mmoja.
Tanzania kuna GEN F. Mpira ashabikie nani ili wakaandamane.Maandamano yanayoendelea kumshinikiza Rais William Ruto kuondoka ofisini yana tija kubwa kwa Kenya na fundisho kwa Serikali ya CCM kuelekea 2025.
Wanachokiandamia ni kukithiri kwa ufisadi na maisha ya anasa ya viongozi wao hasa wanasiasa.
Vijana hao wakiwa katika lindi la umasikini lakini viongozi wao wakiogolea kwenye fedha zao sawa na yule kigogo wa TRA aliyekutwa bilioni 7 nyumbani kwake.
Hakuna wanachokidai kisichokuwepo Tanzania. Kwa hakika waliotakiwa kuandamana kwa wingi wao ni vijana wa Tanzania. Laiti kama wangetumia wingi wao wa kwenye Simba na Yanga kudai haki yao inayoporwa na mafisadi hakika tungekuwa na mabadiliko chanya na ya haraka.
Ifike mahali sasa tuanze kuwachochea vijana hawa kuondoa woga kudai haki zao na kupambana na ufisadi na mafisadi. Tuwaambie wajifunze Kenya ambako naamini hali ikiendelea hivi sitoshangaa Rais Ruto akiomba hifadhi Magogoni.
Laiti nyumbu wangejua wao ni wengi kuliko simba mmoja kamwe wasingemuogopa Simba na badala yake wangemkabili, kumshambulia na kumtimua asimdhuru hata nyumbu mmoja.
Mabadiliko yoyote huja na gharama zake ikiwemo kupoteza maisha si mali tu. Rejea mapinduzi ya Ufaransa yaliyomtoa madarakani Mfalme Luice 16.Let us reason wise, Nairobi is business center, who much the country bis losing? Hao vijana sidhani Ni mtizamo sahihi kuufuata, Mtwara wkt wa gesi tuliona madhara yake, tusifike huko
Watanganyika bado tunamjadili Magoma wa Dar Young Africa.Maandamano yanayoendelea kumshinikiza Rais William Ruto kuondoka ofisini yana tija kubwa kwa Kenya na fundisho kwa Serikali ya CCM kuelekea 2025.
Wanachokiandamia ni kukithiri kwa ufisadi na maisha ya anasa ya viongozi wao hasa wanasiasa.
Vijana hao wakiwa katika lindi la umasikini lakini viongozi wao wakiogolea kwenye fedha zao sawa na yule kigogo wa TRA aliyekutwa bilioni 7 nyumbani kwake.
Hakuna wanachokidai kisichokuwepo Tanzania. Kwa hakika waliotakiwa kuandamana kwa wingi wao ni vijana wa Tanzania. Laiti kama wangetumia wingi wao wa kwenye Simba na Yanga kudai haki yao inayoporwa na mafisadi hakika tungekuwa na mabadiliko chanya na ya haraka.
Ifike mahali sasa tuanze kuwachochea vijana hawa kuondoa woga kudai haki zao na kupambana na ufisadi na mafisadi. Tuwaambie wajifunze Kenya ambako naamini hali ikiendelea hivi sitoshangaa Rais Ruto akiomba hifadhi Magogoni.
Laiti nyumbu wangejua wao ni wengi kuliko simba mmoja kamwe wasingemuogopa Simba na badala yake wangemkabili, kumshambulia na kumtimua asimdhuru hata nyumbu mmoja.
Wanaogopa watakosa buku Tanotano za lumumbaMaandamano yanayoendelea kumshinikiza Rais William Ruto kuondoka ofisini yana tija kubwa kwa Kenya na fundisho kwa Serikali ya CCM kuelekea 2025.
Wanachokiandamia ni kukithiri kwa ufisadi na maisha ya anasa ya viongozi wao hasa wanasiasa.
Vijana hao wakiwa katika lindi la umasikini lakini viongozi wao wakiogolea kwenye fedha zao sawa na yule kigogo wa TRA aliyekutwa bilioni 7 nyumbani kwake.
Hakuna wanachokidai kisichokuwepo Tanzania. Kwa hakika waliotakiwa kuandamana kwa wingi wao ni vijana wa Tanzania. Laiti kama wangetumia wingi wao wa kwenye Simba na Yanga kudai haki yao inayoporwa na mafisadi hakika tungekuwa na mabadiliko chanya na ya haraka.
Ifike mahali sasa tuanze kuwachochea vijana hawa kuondoa woga kudai haki zao na kupambana na ufisadi na mafisadi. Tuwaambie wajifunze Kenya ambako naamini hali ikiendelea hivi sitoshangaa Rais Ruto akiomba hifadhi Magogoni.
Laiti nyumbu wangejua wao ni wengi kuliko simba mmoja kamwe wasingemuogopa Simba na badala yake wangemkabili, kumshambulia na kumtimua asimdhuru hata nyumbu mmoja.
Ni muda tuu aujafika, muda ukifika uo Moto utakua majivu. Amini nikwambiavyoJaribu hata ww na familia yako uone Moto
Ikumbukwe gen z wa kenya wameingiza hasara ya bill.6Maandamano yanayoendelea kumshinikiza Rais William Ruto kuondoka ofisini yana tija kubwa kwa Kenya na fundisho kwa Serikali ya CCM kuelekea 2025.
Wanachokiandamia ni kukithiri kwa ufisadi na maisha ya anasa ya viongozi wao hasa wanasiasa.
Vijana hao wakiwa katika lindi la umasikini lakini viongozi wao wakiogolea kwenye fedha zao sawa na yule kigogo wa TRA aliyekutwa bilioni 7 nyumbani kwake.
Hakuna wanachokidai kisichokuwepo Tanzania. Kwa hakika waliotakiwa kuandamana kwa wingi wao ni vijana wa Tanzania. Laiti kama wangetumia wingi wao wa kwenye Simba na Yanga kudai haki yao inayoporwa na mafisadi hakika tungekuwa na mabadiliko chanya na ya haraka.
Ifike mahali sasa tuanze kuwachochea vijana hawa kuondoa woga kudai haki zao na kupambana na ufisadi na mafisadi. Tuwaambie wajifunze Kenya ambako naamini hali ikiendelea hivi sitoshangaa Rais Ruto akiomba hifadhi Magogoni.
Laiti nyumbu wangejua wao ni wengi kuliko simba mmoja kamwe wasingemuogopa Simba na badala yake wangemkabili, kumshambulia na kumtimua asimdhuru hata nyumbu mmoja.